algeria - Ukurasa 4

IQNA

Kususia utawala wa Kizayuni wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Wapalestina wamempongeza mmoja wa wanamichezo shujaa wa Algeria ambaye amekataa kwenda kucheza mpira katika ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel ikiwa ni kuendeleza harakati ya kimataifa ya kuunga mkono harakati za ukombozi wa Palestinaa na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475552   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

Tarjuma ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Tarjuma mpya ya Qur’ani Tukufu kwa lugya ya Kifaransa imechapishwa nchini Algeria.
Habari ID: 3475370   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/13

TEHRAN (IQNA)- Wakazi wa kijiji cha Al-A'aija nchini Algeria wamemkaribisah kwa furaha Faisal Hajjaj, mkazi wa kijiji hicho ambaye aliibuka wa kwanza kitaifa katika mashindano ya kitaifa ya Qur'ani ya watoto.
Habari ID: 3475236   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/11

TEHRAN (IQNA)- TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini Algeria imetangaza kuwa fainali ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani nchini humo itafanyika kunazia tarehe 15 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475125   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/14

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Wakfu na Masuala ya Kidini Algeria amesisitiza kuhusu nafasi muhimu ya misikiti katika kuzuia misimamo mikali ya kidini na utumiaji mabavu.
Habari ID: 3474962   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/22

TEHRAN (IQNA)- Kwa mara ya kwanza katika historia ya Algeria, mwanamke mtangazaji habari amejitokeza akiwa amevaa Hijabu katika televisheni ya kitaifa.
Habari ID: 3474944   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/18

TEHRAN (IQNA)- Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio chanzo cha kuvurugika uhusiano wa nchi yake na Morocco.
Habari ID: 3474939   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/17

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Jamia Algeria, ambao pia ni maarufu kama Masjid Djamaa el Djazaïr ni msikiti wa tatu kwa ukubwa duniani. Mnara wake wenye urefu wa mita 267 ni moja kati ya minara mirefu zaidi duniani.
Habari ID: 3474864   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/29

TEHRAN (IQNA)- Mchezaji maarufu wa tennis kutoka Kuwait amepongezwa kwa hatua yake ya kujiondoa katika shindano moja la kimataifa baada ya kubainika kuwa alitakuwa ashindane na raia wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474836   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/22

TEHRAN (IQNA) – Shule za Qur'ani zimefungwa kwa muda wa siku 10 kufuatia ongezeko kubwa la maambukizi ya COVID-19.
Habari ID: 3474835   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/22

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Algeria yatafanyika kwa njia ya intaneti, imetangaza Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini nchini humo.
Habari ID: 3474803   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/13

Mtaalamu mmoja wa Qur'ani Tukufu nchini Algeria amesema kuwa wakoloni walitekeleza njama za makusudi za kudhoofisha nafasi na hadhi ya Qur'ani barani Afrika.
Habari ID: 3474758   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/03

TEHRAN (IQNA)- Timu ya Taifa ya kandanda ya Algeria imeibuka mshindi katika mashindano ya kwanza ya Kombe la Mataifa ya Waarabu (FIFA Arab Cup 2021) yaliyofanyika nchini Qatar na kuwatunuku Wapalestina kombe hilo.
Habari ID: 3474695   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/19

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeipongeza Algeria kwa kupinga uanzishwaji uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474549   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/13

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza hatua ya hivi karibuni ya Algeria kupinga utawala haramu wa Israel kupewa hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika.
Habari ID: 3474548   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12

TEHRAN (IQNA) – 'Wiki ya 23 ya Kitaifa Qur'ani' nchini Algeria imezinduliwa katika sherehe iliyofanyika Jumanne.
Habari ID: 3474477   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/27

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Algeria ameelezwa kusikitishwa kwake na hatua ya baadhi ya nchi ya kung'ang'ania utawala haramu wa Israel upatiwe hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika.
Habari ID: 3474431   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16

TEHRAN (IQNA)- Mwanamichezo wa mchezo wa Judo wa Algeria, Fethi Nourine (Fat-hi Nurin), ambaye alifadhilisha kujitoa kwenye michezo ya Olimpiki ya Tokyo kuliko kucheza na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel, bado anaendelea kugonga vichwa vya habari.
Habari ID: 3474278   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Murad Sabati ni qarii maarufu wa Qur'ani Tukufu nchini Algeria ambaye ana sauti nzuri.
Habari ID: 3474251   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/02

TEHRAN (INQA)- Algeria inasema misitu nchini humo imeteketezwa moto hivi karibuni na makundi mawili ambavyo ni ya "kigaidi", na moja ya kati ya makundi hayo linaungwa mkono na Morocco na utawala wa Kizayuni Israel.
Habari ID: 3474208   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/20