iqna

IQNA

Tukio la Eid Ghadir Khum
Balozi wa Iran mjini Vatican alisema vipengele tofauti vya Tukio la Eid Ghadir Khum vinapaswa kufafanuliwa katika vituo vya kitaaluma vya dunia.
Habari ID: 3479013    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/26

Maadili katika Qur'ani/ 26
TEHRAN (IQNA) – Ukweli na uaminifu ni vito viwili vya thamani ambavyo watu wanaweza kupata na kuchimba katika mgodi wa maadili kwa juhudi nyingi.
Habari ID: 3477580    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/11

TEHRAN (IQNA) - Leo ni tarehe 27 Rajab kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Qamaria na katika siku kama ya leo miaka 1454 iliyopita, Mtume Mtukufu wa Uislamu Muhammad Mustafa SAW alibaathiwa yaani kupewa Utume na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3472593    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/22

Mtume Muhammad SAW amesema: Umoja ni chanzo cha rehema na mifarakano inasababisha adhabu. Kanz al Ummal Hadithi ya 20242
Habari ID: 3472027    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/01

Mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott ni mwenyeji wa kongamano la kimataifa kuhusu namna mafundisho ya Qur'ani yanavyoweza kuwasaidia Waislamu.
Habari ID: 3468305    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/22

Tuko katika tarehe ya 28 Mfunguo Tano Safar ambayo inasadifiana na siku ya kukumbuka alipofariki dunia Bwana Mtume Muhammad SAW. Siku kama hii mwaka wa 11 Hijria, Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad al Mustafa, SAW alitangulia mbele ya Haki akiwa ametekeleza vilivyo jukumu alilopewa na Mola wake Mlezi.
Habari ID: 3461857    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/09

Katika kipindi cha miaka 23, Bwana Mtume SAW alisumbuka na kufanya jitihada kubwa mno hadi kuuwezesha kuchipua na kustawi mmea mchanga wa dini tukufu ya Uislamu.
Habari ID: 3377330    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/02

Mahathir Mohammad
Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia Mahathir Mohammad ametoa wito kwa Waislamu wa madhehebu ya Sunni waliowengi Malaysia kuwakibali Mashia kama Waislamu wenzao ili kzuia mapigano ya madhehebu nchini humo kama yale yanayoshuhudiwa katika baadhi ya nchi za Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3362892    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/15

Mwandishi habari mashuhuri Msaudi ameipongeza filamu ya Muhammad Rasulullah SAW iliyotengenezwa nchini Iran.
Habari ID: 3360029    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/07

Idadi kubwa ya Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu nchini Canada wameendelea kuvutiwa sana na filamu ya Mtume Muhammad SAW iliyotengenezwa nchini Iran.
Habari ID: 3357607    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/03

Filamu ya Muhammad Rasulullah SAW imeonyeshwa kimataifa kwa mara ya kwanza katika Tamasha la Kimataifa la Filamu la Montreal nchini Canada.
Habari ID: 3353310    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/28

Waislamu katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa wamemiminika kwa wingi misikitini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kiasi kwamba baadhi ya barabara zinafungwa kutoa nafasi ziada kwa wanaoswali.
Habari ID: 3325727    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/07

Katika siku za kukaribia tarehe 27 Rajab Mohammad SAW alikuwa akienda katika pango la Hiraa na katika baadhi ya nyakati alikuwa akikaa siku kadhaa katikaeneo hilo. Alikuwa akimfahamisha mke wake mtiifu Khadija kuwa: ‘Wewe pia wafahamu mahaba na mafungamano yangu. Katika siku hizi nina hisia ya ajabu ya kupenda kumkumbuka Mola muumba, moyo wangu hautaki chochote isipokuwa hilo.’
Habari ID: 3303983    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/15

Tuko katika siku za kukumbuka kuuawa shahidi binti kipenzi wa Mtume Muhammad (saw) Fatimatu Zahra (as). Bibi Fatima al Zahra (as) ni binti ya Mtukufu Mtume Muhammad (saw) na Bibi Khadija bint Khuwailid, mke kipenzi wa Mtume na mtoto wa nne wa kike wa Mtume wa Mwenyezi Mungu. Baadhi ya lakabu zake ni al Zahra, Siddiqa, Twahira, Mubarakah, Zakiyyah, Raadhiyah, Mardhiyya, Muhaddathah na Batul.
Habari ID: 3015831    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/20

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa kujiepusha na ugaidi, misimamo mikali na utumiaji mabavu kwa kisingizio cha kulinda dini.
Habari ID: 2743220    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/22

Maelfu ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran Jumatatu wameandamana mbele ya Ubalozi wa Ufaransa mjini Tehran kulaani hatua ya gazeti la Charlie Hebdo la Ufaransa ya kuchapishwa tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume wa Uislamu Muhammad (SAW).
Habari ID: 2736722    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/20

Waislamu wa kila pembe duniani wameendelea kulaani vikali kitendo cha jarida linalochapishwa Ufaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha tena picha za vikatuni vya kumvunjia heshima Bwana Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 2720426    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/18

Waliul Amr wa Waislamu kote duniani
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, umoja ni somo kubwa kutoka kwa Mtume wa Mwisho SAW na kwamba hivi sasa ni hitajio la dharura la umma wa Kiislamu.
Habari ID: 2689577    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/09

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amewataka Waislamu kuwa macho katika kukabiliana na njama za maadui wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 2689576    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/09

Hivi sasa tumo katika Wiki ya Umoja kati ya Waislamu ambayo ilitangazwa na hayati Imam Khomeini kutokana na hitilafu za mapokezi kuhusu siku aliyozaliwa Mtume Muhammad SAW. Wiki hiyo inaanzia tarehe 12 hadi 17 Rabiul Awwal.
Habari ID: 2684362    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/08