IQNA – Toleo jipya la tarjuma ya Qurani Tukufu kwa lugha ya Kirusi limechapishwa. Haya yalitangazwa na Mufti wa Urusi, Sheikh Nafiullah Ashirov, ambaye alisema kuwa mwanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Suleiman Muhammedov ndiye aliyefanya kazi ya tarjuma hiyo. Alibainisha kuwa Muhammedov ameyatumia miaka mingi ya maisha yake katika kuhudumia masuala ya Uislamu, kama ilivyoripoti tovuti ya Muslims Around the World.
Habari ID: 3481820 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/19
Tarjuma ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Maktaba ya Kitaifa ya Russia imeandaa hafla siku ya Alhamisi kumkumbuka na kumuenzi marehemu mwanahistoria wa mashariki na mtarijumani wa Qur'ani Tukufu kwa Kirusi Ignatius Krachkovsky.
Habari ID: 3476721 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/5
TEHRAN (IQNA) -Valeria Porokhova ameandika mojawapo ya tafsiri bora zaidi za Qur'ani Tukufu katika lugha ya Kirusi.
Habari ID: 3476097 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/16
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa maelekezo muhimu kuhusiana na mradhi yaliyoenea ya COVID-19 yanayosababishwa na kirusi cha corona humu nchini Iran.
Habari ID: 3472527 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/03