msemaji

IQNA

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amejibu ripoti ya gazeti la New York Times kuhusu kufukuzwa kwa baadhi ya majenerali wa Marekani kwa kunukuu aya ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481502   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/11

Jinai za Israel
IQNA - Harakati ya Muqawama ya Lebanon, Hizbullah,  imetoa rambirambi kwa kuuawa shahidi Mohammad Afif al-Nablusi katika shambulio la Israel lililolenga jengo moja katikati mwa Beirut.
Habari ID: 3479769   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/18

Jinai za Israel
IQNA-Mohammad Afif, msemahi Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameuawa shahidi katika shambulio la utawala wa Kizayuni huko Ras al-Naba, Beirut mji mkuu wa Lebanon.
Habari ID: 3479766   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/17

Diplomasia
IQNA - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza haki isiyopingika ya Iran kujibu kitendo cha kichokozi cha hivi karibuni cha utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3479662   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/28

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
TEHRAN (IQNA) -Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, kusema urongo na kueneza chuki ni viungo muhimu katika sera za kigeni za Marekani.
Habari ID: 3472946   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/10