TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Iraq ametoa mkono wa pongezi kufuatia kuchaguliwa kwa mara ya pili Mohammed al Halbousi kuwa Spika mpya wa Bunge la Iraq katika duru ya pili ya utendaji wa bunge hilo.
Habari ID: 3474788 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/10
TEHRAN (IQNA) – Mohammad Javad Zarif Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye yuko mjini Baghdad leo amekutana na Waziri Mkuu wa Iraq Mustafa al Kadhimi.
Habari ID: 3472978 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/19