iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Madrassah za Qur’ani nchini Somalia maarufu kama Duksi zinaendelea kuwa tumaini kwa watoto nchini humo pamoja na kuwepo mazingira magumu ya kiuchumi, kijamii na umasikini mkubwa.
Habari ID: 3473506    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/30