iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Chanjo ya corona au COVID-19 iliyotegenezwa na watafiti Wairani imeanza kufanyiwa majaribio kwa wanadamu siku ya Jumanne 29 Disemba ambapo watu waliojitolea wamedungwa chanjo hiyo.
Habari ID: 3473509    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/31