iqna

IQNA

Kauthar
Qiraa ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Sherehe za kufunga Tamasha la 41 Kimataifa la Filamu la Fajr la Iran zilianza kwa usomaji wa aya za Qur’ani Tukufu na qari mashuhuri wa kimataifa wa Iran Ustadh Jafar Fardi.
Habari ID: 3476557    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/13

Ahul Bayt wa Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA)- Siku kama ya leo miaka 1433 iliyopita, yaani tarehe 3 Jumada Thani mwaka wa 11 hijria, Bibi Fatima Zahra Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu Yake- Salamullah Alayha- (SA), binti kipenzi cha Bwana Mtume Muhammad SAW na mke wa Imam Ali bin Abi Talib AS alikufa shahidi baada ya kuishi umri mfupi tu lakini uliojaa baraka.
Habari ID: 3476313    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/27

TEHRAN (IQNA)-Usajili wa washiriki wa Awamu ya 15 ya Mashindano ya Kimataifa ya Kusoma Qur'ani Tukufu ya Televisheni ya Al Kauthar umeanza.
Habari ID: 3474938    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/17

TEHRAN (IQNA)- Siku kama ya leo miaka 1431 iliyopita, yaani tarehe 3 Jumada Thani mwaka wa 11 hijria, Bibi Fatima Zahra Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu Yake- Salamullah Alayha- (SA), binti kipenzi cha Bwana Mtume Muhammad SAW na mke wa Imam Ali bin Abi Talib SA alikufa shahidi baada ya kuishi umri mfupi tu lakini uliojaa baraka.
Habari ID: 3473564    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/17