iqna

IQNA

IQNA: Serikali ya Afrika Kusini imesema chuki dhidi ya Uislamu ndio chanzo cha hujumza mbili dhidi ya misikiti mjini Cape Town.
Habari ID: 3470793    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/14

IQNA-Mashindano ya uchoraji kwa kuzingatia ufahamu wa Aya za Qur'ani kwa mtazamo wa watoto Waislamu yamefanyika Afrika Kusini.
Habari ID: 3470692    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/23

Wakaazii wa mji wa Tshwane nchini Afrika Kusini wamebainisha hasira zao baada ya kupatikana maandishi ukutani yenye kuwavunjia heshima Waislamu.
Habari ID: 3470566    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/16

Kiongozi Muadhamu katika Mkutano na Rais wa Afrika Kusini
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, nchi huru zinapaswa kushirikiana kadiri inavyowezekana licha ya kuweko njama za kila namna za baadhi ya madola ya kibeberu.
Habari ID: 3470269    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/24

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuimarishwa uhusiano wa nchi hii na Afrika Kusini katika setka mbali mbali.
Habari ID: 3470268    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/24