Waislamu Sweden
TEHRAN (IQNA) – Msikiti katika mji wa kusini mwa Uswidi (Sweden) wa Jönköping umehujumiwa na kuharibiwa kwa mara ya tatu katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Habari ID: 3475759 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10
Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) –Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) linawataka polisi nchini humo kuimarisha doria zaidi baada ya shambulio dhidi ya msikiti.
Habari ID: 3475756 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09
Ugaidi wa Daesh
TEHRAN (IQNA) - Katika ripoti yake, Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch lilisema kuwa kundi tanzu la Daesh (ISIS au ISIL) nchini Afghanistan linalenga makundi ya Waislamu waliowachache Afghanistan kama vile Mashia wa kabila la Hazara.
Habari ID: 3475749 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/08
Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Mwenendo wa chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu katika mataifa ya Ulaya hususan Ufaransa ungali unaendelea huku kukiwa na mpango wa kuwatimua Maimamu na viongozi wengine wa jamii ya Waislamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3475748 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/07
Waislamu Uswidi
TEHRAN (IQNA) - Chama kipya cha Waislamu nchini Uswidi (Sweden)kinataka kupiga marufuku kudhalilishwa kwa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475744 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/06
Waislamu wa Madhehebu ya Shia
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa Saba wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl-ul-Bayt AS ulimalizika hapa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3475731 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04
Uislamu barani Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Mwanamke mmoja huko Plymouth, kusini magharibi mwa Uingereza, alikubali Uislamu baada ya kusoma Qur’ani Tukufu mara nne katika muda wa mwezi mmoja.
Habari ID: 3475726 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/03
Ubaguzi Marekani
TEHRAN (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) lilisema Waislamu wa Marekani wanaunga mkono wale wote wanaopinga ubaguzi wa rangi unaolenga watu wenye asili ya Afrika, chuki dhidi ya wageni, chuki dhidi Uislamu na itikadi kuwa wazungu ndio watu bora zaidi.
Habari ID: 3475721 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02
Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Maimamu 15 wa msikiti huko nchini Ufaransa watafukuzwa nchini humo kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya uchochezi.
Habari ID: 3475716 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- TEHRAN (IQNA) - Kozi za kuhifadhi Qur'ani katika vituo vya Qur'ani vya Jordan zimekaribishwa kwa furaha na wanafunzi wa shule Wizara ya Wakfu ilisema.
Habari ID: 3475700 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29
Waislamu Warohingya
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwasaidia kwa hali na mali wakimbizi Waislamu wa Rohingya walioko nchini Bangladesh.
Habari ID: 3475696 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28
Ubaguzi wa rangi
TEHRAN (IQNA)- Utafiti wa Chuo Kikuu cha Rice unaonyesha kuwa Waislamu wenye asili ya Afrika nchini Marekani wanakabiliwa na utumiaji mabavu na unyanyasaji mara tano zaidi yaw engine kutoka kwa polisi nchini humo.
Habari ID: 3475677 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/25
Waislamu wa jamii ya Rohingya
TEHRAN (IQNA) - Katika mwaka wa tano wa kulazimishwa kuhama Waislamu walio wachache wa Rohingya kutoka makwao nchini Myanmar, wengi wanaishi katika kambi ndani na nje ya nchi.
Habari ID: 3475674 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24
Qur'ani Tukufu Inasemaje/25
TEHRAN (IQNA) - Hasira ni miongoni mwa hisia zinazosababisha uadui na kupelekea kuibuka matokeo mabaya ya kijamii. Uadui au uhasama unaweza kupunguzwa kwa njia fulani, lakini kuugeuzaa kuwa urafiki wa kindani ni jambo ambalo linaonekana kuwa lisilowezekana.
Habari ID: 3475670 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/23
Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Mpango unatayarishwa wa kukusanya fedha kwa ajili ya ujenzi wa msikiti katika kijiji cha Dhannipur cha Ayodhya katika jimbo la Uttar Pradesh nchini India.
Habari ID: 3475657 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21
Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Waislamu huko Cork, jiji la pili kwa ukubwa nchini Ireland, imewaalika watu kuwauliza maswali yoyote wangependa kuhusu Uislamu au mtindo wa maisha wa Waislamu katika hafla maalum ya Kiislamu ya 'mlango wazi'.
Habari ID: 3475653 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/20
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Khatibu wa Kisunni wa Iraq anasema utawala wa Kizayuni wa Israel unapanda mbegu za mifarakano kati ya mataifa ya Kiislamu ili kufikia malengo yake.
Habari ID: 3475651 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/20
Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) – Mji wa Gander katikati mwa jimbo la Newfoundland na Labrador nchini Kanada (Canada) unafanya kazi na jumuiya yake ya Waislamu wa eneo hilo kuanzisha msikiti wake wa kwanza ili kuwashawishi madaktari Waislamu wasihame eneo hilo.
Habari ID: 3475643 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18
Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Wanaume 11 waliohukumiwa kifungo cha maisha jela kwa ubakaji na mauaji ya mwanamke Mwislamu mjamzito na familia yake wakati wa ghasia mbaya katika jimbo la Gujarat nchini India wameachiliwa, na hivyo kuzua hasira dhidi ya serikali ya utaifa wa Kihindu nchini humo.
Habari ID: 3475636 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/17
Utamaduni wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Watanzania wamepokea kwa furaha maonyesho ya uchapishaji wa Qur’ani Tukufu na Hadithi yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam.
Habari ID: 3475620 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14