iqna

IQNA

Sura za Qur'ani Tukufu / 41
TEHRAN (IQNA) – Moja ya imani ambayo Waislamu wanashikilia ni kutoweza kupotoshwa kwa Qur'ani Tukufu. Kwa mujibu wa imani hii, Qur'ani Tukufu sasa ni sawa na ilivyokuwa wakati ilipoteremshwa kwa Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) na hakuna neno lililoongezwa au kutolewa ndani yake
Habari ID: 3476113    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/19

Qur'ani Tukufu Inasemaje / 36
TEHRAN (IQNA) – Familia ni mojawapo ya misingi muhimu ya jamii na inabeba jukumu la kulea watoto wanaojenga vizazi vijavyo. Uislamu unalipatia umuhimu mkubwa kitengo hiki cha kijamii na umefafanua mifumo maalum kwa ajili yake.
Habari ID: 3476112    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/19

Chuki dhidi ya Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa Ufaransa wameifunga shule mbili za Kiislamu katika mji wa kusini wa Montpellier, vyombo vya habari vya ndani viliripoti.
Habari ID: 3476108    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

Waislamu wa Thailand
TEHRAN (IQNA) - Thailand imemteua gavana wa kwanza mwanamke Mwislamu katika jimbo la kusini la Pattani katika kitendo ambacho waangalizi wanaamini kinaweza kusaidia kumaliza migogoro.
Habari ID: 3476104    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/17

Uislamu nchini Ufilipino
TEHRAN (IQNA) – Bunge nchini Ufilipino limepitishwa sheria ya kuitangaza Februari 1 kila mwaka kuwa Siku ya Kitaifa ya Hijabu ili kuongeza ufahamu wa desturi za Waislamu.
Habari ID: 3476101    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/17

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Kulingana na ripoti, wagombea Waislamu wa Marekani wamepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa katikati ya muhula Jumanne uliofanyika katika ngazi za bunge la kitaifa, majimbo na mitaa.
Habari ID: 3476073    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/11

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, kundi kuu la upinzani la Bahrain, amekaribisha wito wa Shekhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar Sheikh Ahmed el-Tayyib wa mazungumzo ya baina ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni.
Habari ID: 3476072    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/11

Malenga wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Maadhimisho ya miaka 145 ya kuzaliwa kwa mshairi wa Pakistani Allama Muhammad Iqbal yaliadhimishwa kote nchini humo kwa hamasa ya kitaifa siku ya Jumatano.
Habari ID: 3476066    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/10

Kuarifisha Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya watu 1,000 wasio Waislamu walitembelea Msikiti wa Fatih huko Amsterdam, Uholanzi, baada ya msikiti huo kuwafungulia milango wafuasi wa imani nyingine.
Habari ID: 3476051    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/07

Hujuma dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Makumi kwa maelfu ya watu walifanya maandamano siku ya Ijumaa katika mji mkuu wa Mali wa Bamako kushutumu kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476038    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametoa mwito wa Umoja wa Kiislamu sambamba na kufanyika mazungumzo baina ya Maulamaa wa madhehebu ya Shia na Sunni kwa ajili ya kukabiliana na fitina na mapigano ya kikaumu.
Habari ID: 3476037    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05

Waislamu na Michezo
TEHRAN (IQNA) – Mshambulizi maarufu Timu ya Taifa ya Soka ya Misri, Mohammed Salah, bingwa wa zamani wa uzito wa juu Mike Tyson, na mshindi wa taji la Ballon d'Or la mwanasoka bora duniani Karim Benzema ni miongoni mwa wanamichezo Waislamu wenye ushawishi mkubwa mwaka 2023.
Habari ID: 3476013    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/31

Hali ya Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) - Kundi la kutetea haki za Uingereza limeonya kuhusu mkakati tata wa serikali ya nchi hiyo wa kupambana na kile kinachodaiwa kuwa ni 'ugaidi' na kusema mkakati huo umesababisha ukusanyaji haramu wa data za kibinafsi.
Habari ID: 3476004    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/29

Njama dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa jiji la Tehran na miji yote ya Iran, leo baada ya Sala za Ijumaa, wamefanya maandamano makubwa ya nchi nzima kulaani shambulio la kigaidi lililotokea juzi Jumatano katika Haram Tukufu ya Shah Cheragh ya mjini Shiraz, kusini magharibi mwa Iran. Genge la kigaidi la ISIS limetangaza kuhusika na jinai hiyo.
Habari ID: 3475997    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28

Hujuma ya kigaidi
TEHRAN (IQNA)- Kufuatia tukio la kigaidi lililotokea katika Haram ya Hadhrat Ahmad bin Musa (Shah Cheragh) huko Shiraz, Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizofiwa akisisitiza kuwa wahalifu waliohusika na jinai hiyo wataadhibiwa.
Habari ID: 3475992    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/27

TEHRAN (IQNA) – Tatizo la chakula katika mikahawa ya shule nchini Ufaransa ni keri kubwa kwa wazazi wengi wa wanafunzi Waislamu.
Habari ID: 3475982    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/24

Maafa
TEHRAN (IQNA) – Kuba kubwa la Msikiti Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Jakarta nchini Indonesia liliporomoka kufuatia moto mkubwa.
Habari ID: 3475962    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa Kiislamu wa India anasema maadui wanaleta migawanyiko katika ulimwengu wa Kiislamu kwa vile hawataki kuona maendeleo ya Waislamu.
Habari ID: 3475947    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/18

Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA)- Kwa mara ya kwanza kabisa, Adhana imesikika katika moja kati ya misikiti mikubwa zaidi nchini Ujerumani mjini Cologne.
Habari ID: 3475931    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/15

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu hautasalimu amri mbele ya madola yenye nguvu na kusisitiza kuwa: Jamhuri ya Kiislamu hivi sasa imekuwa mti imara uliostawi ambao ni muhali hata kufirikia kwamba unaweza kung'olewa.
Habari ID: 3475926    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/14