Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Nchi za Kiislamu duniani zimeendelea kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa Televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3475342 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06
Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Kundi la Mahujaji kutoka Indonesia walifika Madina siku ya Jumamosi wakiwa kundi la kwanza kuwasili katika Ufalme wa Saudia kutekeleza ibada za Hija baada ya kusitishwa kwa Waislamu walio nje ya Saudia kwa muda wa miaka miwili kutokana na corona
Habari ID: 3475338 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/05
TEHRAN (IQNA)- Takriban misikiti 7,500, imefunguliwa katika Shirikisho la Russia au Urusi katika kipindi cha miaka 33 iliyopita.
Habari ID: 3475336 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04
TEHRAN (IQNA)- Mgogoro mbaya zaidi wa kiuchumi unaoikabili Sri Lanka iliyokumbwa na madeni umewalazimu Waislamu kutotekeleza ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3475326 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/02
Waislamu Australia
TEHRAN (IQNA)- Bw. Ed Husic na Bi. Anne Aly ambao wamekuwa mawaziri wa kwanza Waislamu katika historia ya Australia, wanatambua umuhimu wa kuteuliwa kwao na wanasisitiza kwamba wanaangazia sasa kutumia majukumu haya kuleta mabadiliko katika maisha ya Waaustralia.
Habari ID: 3475325 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/02
Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Mkurugenzi wa Vyuo vya Kiislamu Iran Ayatullah Alireza Arafi alikutana na kufanya mazungumzo na Papa Francis.
Habari ID: 3475317 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31
Waislamu Amerika ya Kaskazini
TEHRAN (IQNA)- Waislamu kutoka kote Marekani walimiminika katika Kituo cha Mikutano cha Baltimore kwa Mkutano wa 47 wa Mwaka wa ICNA-MAS 2022.
Habari ID: 3475315 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/30
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Rasmus Paludan, mwanasiasa mwenye msimamo mkali mwenye uraia wa Sweden na Denmark ambaye alizindua msafara wa kuteketeza moto Qur’ani Tukufu nchini Sweden hivi karibuni amekariri jinai yake hiyo yenye chuki dhidi ya Uislamu katika bustani ya jiji la Landskrona kusini mwa Sweden.
Habari ID: 3475310 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/29
Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya mashuhuri ya Kiislamu nchini India imeishutumu serikali ya BJP kwa kuwalinda watu wanaohusika katika kueneza chukji dhidi ya Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3475307 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/28
TEHRAN (IQNA)- Kufuatia tahadhari kutoka kwa serikali ya Ghana kuhusu uwezekano wa kutokea mashambulizi ya kigaidi, ulinzi umeimarishwa misikitini kwa amri ya kiongozi wa Kiislamu wa nchi hiyo, Mallam Othman Nuhu Sharubutu.
Habari ID: 3475300 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/26
Benki za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Sekta ya benki ya Kiislamu ya Pakistani inakadiriwa kuwa inastawi haraka na hivyo itazipita kwa kiasi kikubwa benki za kawaida ifikapo 2026.
Habari ID: 3475293 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/25
Uislamu na vita dhidi ya njaa
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi ametoa wito kwa maafisa wa nchi hiyo kuchukua somo kutoka aliyoyasema Nabii Yusuf AS katika Qur’ani Tukufu kuhusu kuweka akiba ili waweze kushughulikia hali ya sasa ya uhaba wa ngano na nafaka zingine.
Habari ID: 3475286 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23
Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Mfawidhi Haram Takatifu ya Imam Ridha AS mjini Mashhad anasema umoja kati ya Waislamu na Wahindu ulikuwa muhimu katika kuwashinda wakoloni, na kuongeza kuwa hivi kuna njama za kupanda mbegu za ugomvi kati ya vikundi hivi vya India.
Habari ID: 3475284 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23
Uislamu duniani
TEHRAN (IQNA)- Mwezi wa Kimataifa wa Historia ya Waislamu ni mpango wa kila mwaka unaoadhimisha mafanikio ya Waislamu katika historia na kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu duniani kote kupitia elimu.
Habari ID: 3475274 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/21
Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA)- Paundi milioni 24.5 zimetengwa kwa ajili ya usalama katika maeneo ya ibada na shule nchini Uingereza.
Habari ID: 3475273 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/21
Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Mahakama Kilele ya India imebatilisha uamuzi wa mahakama ya chini ambayo ilikuwa imeamuru marufuku ya sala za jamaa katika msikiti wa Karne ya 17 kaskazini mwa India kwa madai kuwa kulikuwa na mabavu ya mmoja ya miungu ya Kihindu, Shiva, na nembo zingine za Kihindu hapo.
Habari ID: 3475267 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19
TEHRAN (IQNA)- Shule moja nchini Uingereza imewalisha wanafunzi Waislamu nyama ya nguruwe jambo ambalo limeibua hasira kali miongoni mwa wazazi.
Habari ID: 3475266 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19
Hija
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema inafanya mazungumzo na Saudi Arabia kuhusu kuruhusiwa kutekeleza ibada ya Hija Wairani waliopata chanjo iliyotegenezwa ndani ya Iran.
Habari ID: 3475265 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19
TEHRAN (IQNA)- Orodha ya maeneo yenye huudma na bidhaa Halal katika mji wa New York, Marekani imechapishwa kwa lengo la kuwasaidia wenyeji na watalii Waislamu katika jiji hilo ambalo ni makao makuu ya Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3475256 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/16
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Imam Ali AS cha Vienna, Austria kimeanzisha mpango wa kuhifadhi Qur'ani kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3475253 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/15