TEHRAN (IQNA)- Kufuatia tahadhari kutoka kwa serikali ya Ghana kuhusu uwezekano wa kutokea mashambulizi ya kigaidi, ulinzi umeimarishwa misikitini kwa amri ya kiongozi wa Kiislamu wa nchi hiyo, Mallam Othman Nuhu Sharubutu.
Habari ID: 3475300 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/26
Benki za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Sekta ya benki ya Kiislamu ya Pakistani inakadiriwa kuwa inastawi haraka na hivyo itazipita kwa kiasi kikubwa benki za kawaida ifikapo 2026.
Habari ID: 3475293 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/25
Uislamu na vita dhidi ya njaa
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi ametoa wito kwa maafisa wa nchi hiyo kuchukua somo kutoka aliyoyasema Nabii Yusuf AS katika Qur’ani Tukufu kuhusu kuweka akiba ili waweze kushughulikia hali ya sasa ya uhaba wa ngano na nafaka zingine.
Habari ID: 3475286 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23
Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Mfawidhi Haram Takatifu ya Imam Ridha AS mjini Mashhad anasema umoja kati ya Waislamu na Wahindu ulikuwa muhimu katika kuwashinda wakoloni, na kuongeza kuwa hivi kuna njama za kupanda mbegu za ugomvi kati ya vikundi hivi vya India.
Habari ID: 3475284 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23
Uislamu duniani
TEHRAN (IQNA)- Mwezi wa Kimataifa wa Historia ya Waislamu ni mpango wa kila mwaka unaoadhimisha mafanikio ya Waislamu katika historia na kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu duniani kote kupitia elimu.
Habari ID: 3475274 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/21
Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA)- Paundi milioni 24.5 zimetengwa kwa ajili ya usalama katika maeneo ya ibada na shule nchini Uingereza.
Habari ID: 3475273 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/21
Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Mahakama Kilele ya India imebatilisha uamuzi wa mahakama ya chini ambayo ilikuwa imeamuru marufuku ya sala za jamaa katika msikiti wa Karne ya 17 kaskazini mwa India kwa madai kuwa kulikuwa na mabavu ya mmoja ya miungu ya Kihindu, Shiva, na nembo zingine za Kihindu hapo.
Habari ID: 3475267 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19
TEHRAN (IQNA)- Shule moja nchini Uingereza imewalisha wanafunzi Waislamu nyama ya nguruwe jambo ambalo limeibua hasira kali miongoni mwa wazazi.
Habari ID: 3475266 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19
Hija
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema inafanya mazungumzo na Saudi Arabia kuhusu kuruhusiwa kutekeleza ibada ya Hija Wairani waliopata chanjo iliyotegenezwa ndani ya Iran.
Habari ID: 3475265 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19
TEHRAN (IQNA)- Orodha ya maeneo yenye huudma na bidhaa Halal katika mji wa New York, Marekani imechapishwa kwa lengo la kuwasaidia wenyeji na watalii Waislamu katika jiji hilo ambalo ni makao makuu ya Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3475256 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/16
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Imam Ali AS cha Vienna, Austria kimeanzisha mpango wa kuhifadhi Qur'ani kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3475253 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/15
TEHRAN (IQNA)-Ingawa idadi ya Waislamu wa Japani inaendelea kuongezeka, kuna makaburi machache sana katika nchi hii, ambapo kuchoma maiti ni jambo la kawaida.
Habari ID: 3475239 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/12
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa amebainisha masikitiko yake juu ya mapigano makali ya hivi karibuni kati ya Waislamu na Wakristo wa Orthodox nchini Ethiopia, ambapo takriban watu 30 waliripotiwa kuuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa.
Habari ID: 3475226 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/09
QOM (IQNA)- Balozi wa Jamhuri ya Kenya nchini Iran Mh. Joshua Gatimu ametembelea Haram Takatifu ya Bibi Maasuma - Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-katika mji wa Qum.
Habari ID: 3475222 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/08
TEHRAN (IQNA)-Utumizi wa neno 'Insallah' (Mungu Akipenda) umeenea sana miongoni mwa Waislamu kote duniani.
Habari ID: 3475221 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/08
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Russia wametangaza uungaji mkono jitihada za ukombozi wa taifa linalodhulumiwa la Palestina ambalo linakoloniwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475220 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07
TEHRAN (IQNA)- Msitiki umehujumiwa katika mji wa Metz, kaskazini mashariki mwa Ufaransa siku moja kabla ya Emmanuel Macron kuapishwa kuendelea kuwa rais wa Ufaransa.
Habari ID: 3475217 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07
Uchambuzi
TEHRAN (IQNA)- Nchi za Kiislamu zimesherehekea Idul Fitr baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wakati ambao katika baadhi ya nchi za Kiislamu amani na usalama inaonekana kuwa kiungo muhimu zaidi kinachokosekana katika maisha ya watu wa nchi hizo.
Habari ID: 3475210 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/05
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Polisi katika mji wa Mumbai nchini India imetoa idhini kwa misikitini 803 kutumia vipaza sauti kwa ajili ya adhana.
Habari ID: 3475208 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/05
TEHRAN (IQNA)- Fainali ya Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya mabarobaro imemalizija Jumatatu wiki hii nchini Zambia.
Habari ID: 3475207 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/05