iqna

IQNA

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Serikali ya Ufaransa imefunga makumi ya misikiti katika kipindi cha miaka miwili hivi kwa kisingizio cha sheria yenye utata na iliyokosolewa sana.
Habari ID: 3475877    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Waislamu wa Yemen
TEHRAN (IQNA) – Wanazuoni wa Yemen wamesisitiza haja ya kuimarisha umoja wa Kiislamu, wakibainisha kwamba sikukuu ya kuzaliwa kwa Mtukufu Mtume (SAW) ni tukio la kukuza umoja.
Habari ID: 3475854    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29

Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Serikali ya Ufaransa inapanga kufunga msikiti mwingine, ikimtuhumu imamu wa masikiti husika kuwa na itikadi kali.
Habari ID: 3475853    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29

Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- India imeipiga marufuku harakati mashuhuri ya Kiislamu nchini humo ya PFI, ikiwa ni muendelezo wa serikali ya New Delhi ya kufuata sera ya kukanyaga na kupuuza haki za Waislamu walio wachache katika nchi hiyo.
Habari ID: 3475852    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 16 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Morocco yalianza Jumanne na kumalizika leo katika mji wa Casablanca magharibi mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3475850    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/28

Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) - Mashirika na vikundi vya Kiislamu huko Mumbai nchini India vimeanza kampeni ya kukuza mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW) katika mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.
Habari ID: 3475848    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/28

Waislamu Italia
TEHRAN (IQNA) – Mtazamo hasi dhidi ya Waislamu milioni 3 na zaidi wanaoishi nchini Italia hautarajiwi kutoka kwa serikali ijayo ya mrengo wa kulia, jumuiya za Kiislamu nchini humo zilisema.
Habari ID: 3475847    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/27

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Gwaride la 38 la Kila Mwaka la Siku ya Umoja Waislamu wa Marekani lilifanyika Manhattan, jijini New York.
Habari ID: 3475844    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/26

Uislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Jimbo la Arizona (ASU) kilifungua Kituo cha Uzoefu wa Kiislamu nchini Marekani muhula huu.
Habari ID: 3475840    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Algeria, Abdelmadjid Tebboune alisema suala la Palestina ndilo suala la msingi kwa nchi yake.
Habari ID: 3475837    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Wanaume wawili walipigwa risasi na kuuawa Jumatatu usiku huko nchini Marekani katika jiji la Oakland wakati washambuliaji wengi waliokuwa kwenye gari walipofyatua risasi kwa umati wa watu karibu na Kituo cha Kiislamu cha Oakland.
Habari ID: 3475820    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vita vya kulazimishwa vya Iraq dhidi ya Iran vilikuwa ni matokeo ya siasa za kimkakati za mfumo wa kibeberu katika uadui wake dhidi ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu na taifa la Iran.
Habari ID: 3475816    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21

Waislamu Dunianii
TEHRAN (IQNA) - Msikiti wa kwanza wa Cuba utajengwa katika mji mkuu Havana ambapo inatarajiwa kuwa ujenzi wake utafadhiliwa na Saudia Arabia kwa ajili ya Waislamu wanaoishi katika nchi hiyo ya Amerika Kusini.
Habari ID: 3475815    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Hissein Brahim Taha ameelezea wasiwasi wa jumuiya hiyo kuhusiana na kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu katika baadhi ya nchi za Ulaya.
Habari ID: 3475812    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20

Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA) – Mamilioni ya Waislamu wako katika safari ya kuelekea kwenye haram tukufu ya Imam Hussein (AS), ili kuonyesha mapenzi na kujitolea kwao kwa mjukuu kipenzi wa Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3475787    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15

Hali Saudia
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya 16 za Kiislamu duniani zimetoa tamko la kulaani hukumu kali za vifungo jela dhidi ya walinganiaji wa Kiislamu wa Saudi Arabia zilizotolewa hivi karibuni na mamlaka ya mahakama ya Saudia.
Habari ID: 3475785    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Misri Mostafa Madbouly ameidhinisha mpango wa kuandaa Duru ya Sita Ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo huko Port Said.
Habari ID: 3475783    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/14

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) - Athari za baada ya mashambulizi yaSeptemba 11 za chuki dhidi ya Uislamu zinaendelea kuwakumba Waislamu Wamarekani huku ikiwa imetimia miaka 21 tokea mashambulizi hayo yajiri.
Habari ID: 3475773    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/12

Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa ripoti ya taasisi moja ya utafiti, Waislamu wa Uingereza wamepunguziwa hadhi ya uraia wao hadi hadhi ya "daraja la pili" kutokana na mamlaka iliyoongezwa hivi karibuni ya kuwavua watu utaifa au uraia wao.
Habari ID: 3475771    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/12

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) - Maonyesho ya picha yamefunguliwa huko San Antonio kwa lengo la kuangazia Waislamu huko Texas, Marekani.
Habari ID: 3475770    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/12