iqna

IQNA

Waislamu wa Madhehebu ya Shia
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa Saba wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl-ul-Bayt AS ulimalizika hapa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3475731    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04

Uislamu barani Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Mwanamke mmoja huko Plymouth, kusini magharibi mwa Uingereza, alikubali Uislamu baada ya kusoma Qur’ani Tukufu mara nne katika muda wa mwezi mmoja.
Habari ID: 3475726    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/03

Ubaguzi Marekani
TEHRAN (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) lilisema Waislamu wa Marekani wanaunga mkono wale wote wanaopinga ubaguzi wa rangi unaolenga watu wenye asili ya Afrika, chuki dhidi ya wageni, chuki dhidi Uislamu na itikadi kuwa wazungu ndio watu bora zaidi.
Habari ID: 3475721    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Maimamu 15 wa msikiti huko nchini Ufaransa watafukuzwa nchini humo kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya uchochezi.
Habari ID: 3475716    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- TEHRAN (IQNA) - Kozi za kuhifadhi Qur'ani katika vituo vya Qur'ani vya Jordan zimekaribishwa kwa furaha na wanafunzi wa shule Wizara ya Wakfu ilisema.
Habari ID: 3475700    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29

Waislamu Warohingya
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwasaidia kwa hali na mali wakimbizi Waislamu wa Rohingya walioko nchini Bangladesh.
Habari ID: 3475696    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28

Ubaguzi wa rangi
TEHRAN (IQNA)- Utafiti wa Chuo Kikuu cha Rice unaonyesha kuwa Waislamu wenye asili ya Afrika nchini Marekani wanakabiliwa na utumiaji mabavu na unyanyasaji mara tano zaidi yaw engine kutoka kwa polisi nchini humo.
Habari ID: 3475677    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/25

Waislamu wa jamii ya Rohingya
TEHRAN (IQNA) - Katika mwaka wa tano wa kulazimishwa kuhama Waislamu walio wachache wa Rohingya kutoka makwao nchini Myanmar, wengi wanaishi katika kambi ndani na nje ya nchi.
Habari ID: 3475674    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24

Qur'ani Tukufu Inasemaje/25
TEHRAN (IQNA) - Hasira ni miongoni mwa hisia zinazosababisha uadui na kupelekea kuibuka matokeo mabaya ya kijamii. Uadui au uhasama unaweza kupunguzwa kwa njia fulani, lakini kuugeuzaa kuwa urafiki wa kindani ni jambo ambalo linaonekana kuwa lisilowezekana.
Habari ID: 3475670    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/23

Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Mpango unatayarishwa wa kukusanya fedha kwa ajili ya ujenzi wa msikiti katika kijiji cha Dhannipur cha Ayodhya katika jimbo la Uttar Pradesh nchini India.
Habari ID: 3475657    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21

Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Waislamu huko Cork, jiji la pili kwa ukubwa nchini Ireland, imewaalika watu kuwauliza maswali yoyote wangependa kuhusu Uislamu au mtindo wa maisha wa Waislamu katika hafla maalum ya Kiislamu ya 'mlango wazi'.
Habari ID: 3475653    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/20

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Khatibu wa Kisunni wa Iraq anasema utawala wa Kizayuni wa Israel unapanda mbegu za mifarakano kati ya mataifa ya Kiislamu ili kufikia malengo yake.
Habari ID: 3475651    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/20

Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) – Mji wa Gander katikati mwa jimbo la Newfoundland na Labrador nchini Kanada (Canada) unafanya kazi na jumuiya yake ya Waislamu wa eneo hilo kuanzisha msikiti wake wa kwanza ili kuwashawishi madaktari Waislamu wasihame eneo hilo.
Habari ID: 3475643    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18

Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Wanaume 11 waliohukumiwa kifungo cha maisha jela kwa ubakaji na mauaji ya mwanamke Mwislamu mjamzito na familia yake wakati wa ghasia mbaya katika jimbo la Gujarat nchini India wameachiliwa, na hivyo kuzua hasira dhidi ya serikali ya utaifa wa Kihindu nchini humo.
Habari ID: 3475636    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/17

Utamaduni wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Watanzania wamepokea kwa furaha maonyesho ya uchapishaji wa Qur’ani Tukufu na Hadithi yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam.
Habari ID: 3475620    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14

Waislamu Warohingya
TEHRAN (IQNA)- Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu Michelle Bachelet amewasili Bangladesh siku ya Jumapili katika safari ya siku nne ambayo inajumuisha kutembelea kambi za wakimbizi zenye hali mbaya ambapo zaidi ya wakimbizi milioni wa Rohingya kutoka Myanmar wanaishi.
Habari ID: 3475618    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14

Jinai dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Askari wa Jeshi la Nigeria wameshambulia kumbukuku za maomboleza ya Ashura ya Imam Hussein AS katika mji wa Zaria na kuua shahidi na kujeruhi Waislamu kadhaa.
Habari ID: 3475597    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali kitendo cha kichochezi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, na kutusiwa matukufu ya Kiislamu nchini Ujerumani.
Habari ID: 3475593    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wengi wameuawa katika mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Canada (Kanada) kuliko nchi nyingine yoyote ya kundi la G-7 kati ya 2017-2021.
Habari ID: 3475591    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07

Jinai za Myamar
TEHRAN (IQNA) – Nyaraka mpya zinaonyesha jinsi vikosi vya jeshi la Myanmar vilipanga kuwafukuza kwa lazima Waislamu walio wachache wa nchi hiyo kutoka ardhi zao za jadi.
Habari ID: 3475583    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05