iqna

IQNA

Waislamu Warohingya
TEHRAN (IQNA)- Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu Michelle Bachelet amewasili Bangladesh siku ya Jumapili katika safari ya siku nne ambayo inajumuisha kutembelea kambi za wakimbizi zenye hali mbaya ambapo zaidi ya wakimbizi milioni wa Rohingya kutoka Myanmar wanaishi.
Habari ID: 3475618    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14

Jinai dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Askari wa Jeshi la Nigeria wameshambulia kumbukuku za maomboleza ya Ashura ya Imam Hussein AS katika mji wa Zaria na kuua shahidi na kujeruhi Waislamu kadhaa.
Habari ID: 3475597    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali kitendo cha kichochezi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, na kutusiwa matukufu ya Kiislamu nchini Ujerumani.
Habari ID: 3475593    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wengi wameuawa katika mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Canada (Kanada) kuliko nchi nyingine yoyote ya kundi la G-7 kati ya 2017-2021.
Habari ID: 3475591    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07

Jinai za Myamar
TEHRAN (IQNA) – Nyaraka mpya zinaonyesha jinsi vikosi vya jeshi la Myanmar vilipanga kuwafukuza kwa lazima Waislamu walio wachache wa nchi hiyo kutoka ardhi zao za jadi.
Habari ID: 3475583    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05

Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Ufaransa ilimbagua mwanamke Mwislamu ambaye alizuiwa kuhudhuria mafunzo ya ufundi stadi katika shule ya umma akiwa amevalia hijabu yake, kamati ya Umoja wa Mataifa iliamua.
Habari ID: 3475578    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04

Hali ya Waislamu Bahrain
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa kiimla wa Bahrain umeshadidisha ukandamizaji wake wa kikatili dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo kabla ya Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475577    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04

Iran na Afrika
TEHRAN (IQNA)- Mjukuu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanatoa ilhamu na motisha kwa taifa hilo la kusini mwa Afrika.
Habari ID: 3475576    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04

Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Maandamano yamezuka baada ya msikiti katika viunga vya Hyderabad nchini India kubomolewa na manispaa ya mji huo.
Habari ID: 3475572    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/03

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Hafla imefanyika Silopi, mkoa wa Sirnak, kusini mashariki mwa Uturuki, kuzindua shule ya kufundisha vijana kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3475564    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

Ibada ya Umrah
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Urais Mkuu wa Masuala ya Misikiti Miwili Mitukufu ya Makka na Madina imepokea kundi la kwanza la Waislamu waliongia Saudia kutekeleza ibada ya Hija ndogo ya Umrah Jumamosi.
Habari ID: 3475563    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

Waislamu Canada
TEHRAN (IQNA) – Maonyesho ya sanaa ya Kiislamu yalizinduliwa mapema wiki hii huko Saanich, Victoria nchini Canada.
Habari ID: 3475560    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30

Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Halmashauri ya Jiji la Madrid imekubali kutenga ardhi katika mji mkuu wa Uhispania kwa ajili ya ya mazishi ya Waislamu.
Habari ID: 3475559    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amesema kuwa, wanawake Wairani wameweza kunawiri katika sekta za kielimu, kisiasa, kiuchumi na usimamizi huku wakiwa wanazingatia Hijabu, vazi la staha la Kiislamu jambo ambalo limewakasirisha maadui.
Habari ID: 3475555    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

Waislamu Russia
TEHRAN (IQNA)- Ramzan Akhmadovich Kadyrov, Rais wa Jamhuri ya Chechenya ndani ya Shirikisho la Urusi amesema Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo anaiehsmu sana Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3475553    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

Ubaguzi wa rangi
TEHRAN (IQNA) – Kulingana na utafiti mpya, Waislamu na watu weusi au wenye asili ya Afrika wanakabiliwa na viwango vya juu zaidi vya ubaguzi kote Uingereza.
Habari ID: 3475542    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/26

Qur'ani Tukufu Inasemaje /22
TEHRAN (IQNA) – Baada ya tukio la Mubahala lililotokea kufuatia msisitizo wa Wakristo wa Najran juu ya wao kuwa kwenye haki, aya za Qur’an ziliteremshwa zinazotaka mazungumzo na kuzingatia mambo nukta za pamoja. Hii inaonyesha kwamba mtazamo wa Qur'an ambao unatilia mkazo mwingiliano na mazungumzo.
Habari ID: 3475540    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/25

Haki za Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameilaani Ugiriki kwa madai ya kukiuka mkataba wa amani wa karne moja na kuwakandamiza Waislamu walio wachache katika eneo la Thrace.
Habari ID: 3475539    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/25

Waislamu China
TEHRAN (IQNA)- Rais Xi Jinping wa China amewataka viongozi kuongeza juhudi kuhakikisha kwamba Uislamu nchini China unaendana na kaununi za dini nchini humo na sera za kisoshalisti zinazofuatiliwa na Chama tawala cha Kikomunisti cha China.
Habari ID: 3475512    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/17

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Waislamu nchini Uingereza wanataka waziri mkuu ajaye nchini humo akabiliane na chuki ya kimfumo dhidi ya Uislamu katika Chama cha Kihafidhina (Conservative).
Habari ID: 3475509    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/16