Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Uchunguzi mpya umebaini kuwa, karibu asilimia 50 ya misikiti yote nchini Uingereza imekumbana na hujuma za chuki dhidi ya Uislamu katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
Habari ID: 3475436 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/28
Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisisitiza kuhusu utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) na kuongeza kuwa, wanaosaliti Palestina kwa kuanzisha uhusiano na utawala bandia wa Israel wafahamu kuwa ukombozi wa Msikiti wa Al Aqsa unakaribia.
Habari ID: 3475427 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/26
Mwanazuoni wa Ahul Sunna nchini Iran
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni mwandamizi wa Kisunni nchini Iran na mjumbe wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu yanaweza kutatuliwa kwa umoja.
Habari ID: 3475419 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24
Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Taasisi ya haki za binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vitendo vya kibaguzi dhidi ya Waislamu nchini India.
Habari ID: 3475404 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/21
Vazi la Hijabu ni haki
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Nigeria wamepongeza hukumu ya mahakama ya kilele ambayo imesema wanafunzi wa kike Waislamu wana haki ya kuvaa vazi la staha la Hijabu katika shule za serikali mjini Lagos.
Habari ID: 3475403 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/20
Bidhaa Halal
TEHRAN (IQNA) – Waliokuwa wakitaka marufuku uchinjaji nyama kwa msingi wa dini za Kiislamu na Kiyahudi nchini Ubelgiji wamepata pigo baada ya mswada wao kushindwa katika mji mkuu wa Brussels.
Habari ID: 3475395 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/19
Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yameishutumu Saudi Arabia kwa kuingiza siasa katika ibada ya Hija na kuwakandamiza wapinzani.
Habari ID: 3475387 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/17
Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)-Mtu asiyejulikana ametekteza moto msikiti katika mji wa Rennes magharibi mwa Ufaransa na tayari mamlaka imeanzisha uchunguzi kuhusu jinai hiyo.
Habari ID: 3475384 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/16
Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu na chuki dhidi ya Waislamu duniani.
Habari ID: 3475381 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/16
Mauaji ya Waislamu Bosnia
TEHRAN (IQNA) – Afisa wa polisi wa kijeshi wa zamani Mserbia wa Bosnia amekana mbele ya mahakama ya jimbo la Bosnia Jumanne kwa shtaka kwamba alitenda uhalifu dhidi ya ubinadamu katika kijiji cha Novoseoci mnamo Septemba 1992.
Habari ID: 3475379 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/15
Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) –Sawa na idadi kubwa ya Waislamu katika nchi nyingine, raia wengi wa Morocco wanalazimika kufuta safari yao ya Hijja mwaka huu kutokana na gharama kubwa.
Habari ID: 3475373 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/13
Waislamu Italia
TEHRAN (IQNA) - Msikiti wa kwanza huko Venice, Italia, ulizinduliwa katika hafla iliyohudhuriwa na wawakilishi wa jamii ya Kiislamu ya Italia na taasisi za jiji.
Habari ID: 3475369 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/12
Qur'ani inasema nini / 7
TEHRAN (IQNA) – Moja ya matatizo makubwa wanayokumbana nao Waislamu ni kutawaliwa na wasio Waislamu au makafiri katika maeneo mbali mbali duniani. Nini mtazamo wa Qur'ani juu ya hili?
Habari ID: 3475360 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/10
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani Tukufu na Sunnah ya Mtume Muhammad SAW ya Afrika Magharibi yatafanyika nchini Mauritania.
Habari ID: 3475358 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/10
TEHRAN (IQNA)- Utafiti mpya umefichua kuwa, Waislamu saba kati ya kumi nchini Uingereza wamekabiliwa na vitendo vya chuki na ubaguzi kwa misingi ya dini yao.
Habari ID: 3475353 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/09
Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Kinara wa vijana wa chama tawala cha utaifa wa Kihindu cha Bharatiya Janata (BJP) nchini India amekamatwa kutokana na matamshi ya chuki dhidi ya Waislamu Waislamu kwenye mitandao ya kijamii, polisi walisema Jumatano.
Habari ID: 3475350 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/08
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amepongeza hatua ya kuanza tena ibada ya Hija baada ya amali hiyo kuvurugwa kwa miaka miwili na janga la Corona. Amesema, "hii ni baraka kubwa kwani ibada hii ni nembo ya umoja miongoni mwa Waislamu."
Habari ID: 3475348 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/08
Masomo ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Duru ya Tano ya Kozi ya Qur'ani imefanyika nchini Mali katika kituo kimoja kinachofadhiliwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS nchini Iraq.
Habari ID: 3475345 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Nchi za Kiislamu duniani zimeendelea kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa Televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3475342 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06
Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Kundi la Mahujaji kutoka Indonesia walifika Madina siku ya Jumamosi wakiwa kundi la kwanza kuwasili katika Ufalme wa Saudia kutekeleza ibada za Hija baada ya kusitishwa kwa Waislamu walio nje ya Saudia kwa muda wa miaka miwili kutokana na corona
Habari ID: 3475338 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/05