taiwan

IQNA

Waislamu wa China
IQNA – Kwa kutegemea mradi wa kielimu ulioendelea kwa zaidi ya miaka ishirini, Msikiti Mkuu au Msikiti wa Jamia wa Taipei katika eneo la China la Taiwan umejidhihirisha kama mfano wenye mafanikio katika kulea na kuelimisha vizazi vijavyo vya Waislamu.
Habari ID: 3482333    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/07

Waislamu China
IQNA - Msikiti Mkuu wa Taipei, mji mkuu wa eneo la Taiwan, ni msikiti mkongwe zaidi katika kisiwa hicho na pia mkubwa zaidi.
Habari ID: 3478264    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/28

Turathi ya Kiislamu
Urejeshaji wa Msahafu (Qur'ani Tukufu) ulioandikwa miaka 500 iliyopita hivi karibuni umekamilika eneo la China laTaiwan .
Habari ID: 3477116    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/07

TEHRAN (IQNA) – ‘Wiki ya Halal’ imeandaliwa kwa mara ya kwanza huko Taiwan kwa lengo la kuarifisha bidhaa na huduma ambazo zimetayarishwa kwa kuzingatia mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3474310    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/18