TEHRAN (IQNA)- Duru za habari nchini Lebanon zimeripoti kuwa mapigano makali yanendelea baina ya askari usalama na watu wasiojulikana katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut ambapo idadi ya waliouawa sasa ni sita na waliojeruhiwa ni zaidi.
Habari ID: 3474422 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/14