iqna

IQNA

mtume
Umrah
IQNA - Wizara ya Hija na Umrah ya Saudi Arabia imetangaza kuwa kila mwenye kushiriki katika ibada ya Hija ndogo ya Umra anaruhusiwa kutembelea Al-Rawdah Al-Sharifa katika mji mtakatifu wa Madina mara moja tu kwa mwaka.
Habari ID: 3478085    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /46
TEHRAN (IQNA) – Qu’rani Tukufu inamtaja Mtume Muhammad (SAW) kwa majina mawili; Muhammad na Ahmad.
Habari ID: 3477575    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/09

Sura za Qur'ani Tukufu /11
TEHRAN (IQNA) – Pamoja na aya zinazozungumzia rehema ya Mwenyezi Mungu, kuna aya katika Qur’ani Tukufu zinazozungumzia uadilifu wa Mwenyezi Mungu na jinsi wakandamizaji na madhalimu wanavyoadhibiwa. Baadhi ya aya kama hizo zimo katika Surah Hud.
Habari ID: 3475397    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/19

TEHRAN (IQNA)- Sherehe za kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad SAW maarufu kama Milad un Nabii au Maulidi zimefanyika Jumapili jioni katika misikitini mbali mbali ya mji mkubwa zaidi Uturuki, Istanbul.
Habari ID: 3474437    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/18

Mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott ni mwenyeji wa kongamano la kimataifa kuhusu namna mafundisho ya Qur'ani yanavyoweza kuwasaidia Waislamu.
Habari ID: 3468305    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/22

Tuko katika tarehe ya 28 Mfunguo Tano Safar ambayo inasadifiana na siku ya kukumbuka alipofariki dunia Bwana Mtume Muhammad SAW. Siku kama hii mwaka wa 11 Hijria, Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad al Mustafa, SAW alitangulia mbele ya Haki akiwa ametekeleza vilivyo jukumu alilopewa na Mola wake Mlezi.
Habari ID: 3461857    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/09

Wafanyaziara takribani milioni 27 wakiwemo wageni milioni tano wameshiriki katika maombolezo ya Arubaini ya mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW, Imam Hussein AS, katika mji wa Karbala nchini Iraq.
Habari ID: 3459722    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/04

Takribani miaka 1376 iliyopita, ilifanyika majlisi ya kwanza ya siku ya Arubaini tangu kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW Imam Hussein bin Ali AS akiwa na watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume ambao waliuawa shahidi tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3459320    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/02

Kikao cha Nne cha Kimatiafa cha 'Masomo ya Qur'ani na Kutadabari Qur'ani Tukufu Ulaya" kitafanyika Julai mwaka 2016 Manchester Uingereza.
Habari ID: 3452856    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/15

Tuko katika mwezi wa Muharram ambao unahuisha na kurejesha akilini kumbukumbu ya mapambano adhimu na yenye adhama. Muharram ni mwezi uliofungamana na jina la Hussein Ibn Ali (AS) na harakati isiyo na mbadala ya mtukufu huyo katika ardhi ya Karbala.
Habari ID: 3391638    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/22

Katika kipindi cha miaka 23, Bwana Mtume SAW alisumbuka na kufanya jitihada kubwa mno hadi kuuwezesha kuchipua na kustawi mmea mchanga wa dini tukufu ya Uislamu.
Habari ID: 3377330    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/02

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu wametuma salamu za Idi kwa viongozi pamoja na wananchi wa mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia Idul-Adh’ha.
Habari ID: 3366926    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/24

Mahathir Mohammad
Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia Mahathir Mohammad ametoa wito kwa Waislamu wa madhehebu ya Sunni waliowengi Malaysia kuwakibali Mashia kama Waislamu wenzao ili kzuia mapigano ya madhehebu nchini humo kama yale yanayoshuhudiwa katika baadhi ya nchi za Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3362892    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/15

Maulamaa Waislamu Ghana
Maulamaa wa Kiislamu nchini Ghana wametangaza msimamo wa kupinga vikali kundi la kigaidi la Daesh au ISIS na kutoa wito kwa vijana nchini humo kuisoma na kufahamu ipasavyo tafsiri ya Qur'ani kwa njia sahihi ili wasitumbukie katika mtego muovu wa ISIS.
Habari ID: 3360612    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/08

Mwandishi habari mashuhuri Msaudi ameipongeza filamu ya Muhammad Rasulullah SAW iliyotengenezwa nchini Iran.
Habari ID: 3360029    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/07

Baraza la Maulamaa katika utawala wa Saudi Arabia wametangaza kuipinga filamu ya Mtume Muhammad SAW iliyotengenezwa Iran.
Habari ID: 3358540    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/06

Idadi kubwa ya Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu nchini Canada wameendelea kuvutiwa sana na filamu ya Mtume Muhammad SAW iliyotengenezwa nchini Iran.
Habari ID: 3357607    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/03

Filamu ya Muhammad Rasulullah SAW imeonyeshwa kimataifa kwa mara ya kwanza katika Tamasha la Kimataifa la Filamu la Montreal nchini Canada.
Habari ID: 3353310    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/28

Waislamu katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa wamemiminika kwa wingi misikitini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kiasi kwamba baadhi ya barabara zinafungwa kutoa nafasi ziada kwa wanaoswali.
Habari ID: 3325727    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/07

Waislamu nchini Marekani wameanzisha kampeni yenye lengo la kuonesha sura sahini na adhimu ya Mtukufu Mtume Muhammad SAW kwa wafuasi wa dini nyingine duniani.
Habari ID: 3316510    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/20