TEHRAN (IQNA) – Mwakilishi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa (SAW) katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema maadamu hakuna umoja halisi katikaumma wa Kiislamu basi maadui watazidi kueneza chuki dhidi ya Uislamu duniani.
Habari ID: 3474478 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/27