malaysia - Ukurasa 4

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashidano ya 64 Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Malaysia yamemalizika Jumamosi huku washindi wakitunukiwa zawadi.
Habari ID: 3479583   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Vigezo vinavyotumiwa na majaji katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia vimeimarika mwaka huu, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479581   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12

IQNA - Siku ya sita ya Mashindano ya Kimataifa la Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani Malaysia (MTHQA) yameendelea tarehe 10 Oktoba 2024, huku makumi ya washindani wakipanda jukwani.
Habari ID: 3479578   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12

Qur'ani na Maisha
IQNA - Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia Fadillah Yusof amesisitiza umuhimu wa Qur'ani Tukufu kama mfumo elekezi wa utawala, mwenendo wa kibinafsi, na maelewano ya kijamii.
Habari ID: 3479573   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/11

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mfalme na Malkia wa Malaysia wameandaa hafla ya chai ili kuwaenzi washiriki na majaji wa Mkutano wa 64 wa Kimataifa wa Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Malaysia (MTHQA).
Habari ID: 3479568   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Qari wa Iran Hamid Reza Nasiri amewasili katika mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur kushiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3479565   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/09

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Siku ya tatu ya mashindano ya 64 ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia ilishuhudia washindani tisa katika kitengo cha qiraa wakipanda jukwani katika ukumbi wa Kituo cha Biashara Duniani jijini Kuala Lumpur siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3479561   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya 64 wa Kimataifa wa Kusoma na Kuhifadhi Qur'ani wa Malaysia yalifunguliwa rasmi Jumamosi, ambapo yana washiriki 92 kutoka nchi 71.
Habari ID: 3479548   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06

IQNA - Toleo la 64 la Mashindano ya Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani nchini Malaysia (MTHQA) lilifunguliwa rasmi Kuala Lumpur mnamo Oktoba 5, 2024.
Habari ID: 3479544   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 64 la Mashindano ya Kimataifa la Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani ya Malaysia (MTHQA) yamefunguliwa rasmi leo usiku huko Kuala Lumpur.
Habari ID: 3479540   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/05

Umoja wa Kiislamu
IQNA - Rais wa Baraza la Ushauri la Mashirika ya Kiislamu ya Malaysia (MAPIM) alitoa wito kwa nchi za Kiislamu kutuma majeshi yao kukabiliana na ukatili wa utawala wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479487   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25

Waislamu Malaysia
IQNA - Serikali ya Malaysia imethibitisha dhamira yake ya kuwawezesha vijana wanaohifadhi Qur'ani Tukufu ili kuhakikisha wanafaulu katika fani hiyo sambamba na kuwapa ujuzi katika nyanja zingine za kitaaluma.
Habari ID: 3479442   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16

Ulimwengu wa Kiislamu
IQNA - Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia Fadillah Yusof alikabidhi nakala za tafsiri na tarjuma za Qur’ani Tukufu katika Kihispania na Kilatini kwa msikiti mmoja nchini Peru.
Habari ID: 3479289   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/17

Waislamu Malaysia
IQNA - Serikali ya Malaysia inaunga mkono wahifadhi Qur'ani katika kupata taaluma zinginezo za kikao, anasema Naibu Waziri Mkuu Ahmad Zahid Hamidi.
Habari ID: 3479255   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

Dini
IQNA – Mwingiliano kati ya Waislamu na jumuiya nyingine ni muhimu kwa ajili ya kukuza maelewano na kuzuia kutokuelewana kunakochangia chuki dhidi ya Uislamu, amesema Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim.
Habari ID: 3479200   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30

Diplomasia ya Kiislamu
IQNA - Mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur uliandaa mkutano wa kimataifa wa viongozi wa kidini siku ya Jumanne.
Habari ID: 3478792   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/08

Umoja wa Waislamu
IQNA - Mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur unatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa zaidi wa kimataifa wa viongozi wa kidini barani Asia.
Habari ID: 3478776   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/05

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani katika jimbo la Sabah nchini Malaysia yamezinduliwa katika mji wa Kota Kinabalu Jumatano
Habari ID: 3478727   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24

Harakati za Qur'ani
IQNA - Tafsiri au tarjuma ya kwanza ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Dusun imezinduliwa katika hafla ya Jumapili huko Kota Kinabalu, Malaysia
Habari ID: 3478613   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/01

Utalii wa Kiislamu
IQNA - Mpango umezinduliwa nchini Malaysia ili kuvutia watalii wa ndani na nje katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478210   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/18