malaysia - Ukurasa 5

IQNA

Kadhia ya Palestina
KUALA LUMPUR (IQNA) – Hujjatul Islam Seyed Abdul Fattah Navab, mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija na Hija, na Mkuu wa Baraza la Ushauri la Jumuiya za Kiislamu la Malaysia (MAPIM) Sheikh Muhammad Azmi Abdulhamid wamekutan hapa kwenye mkutano wikendi hii.
Habari ID: 3477984   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04

KUALA LUMPUR (IQNA) – Mkutano ulifanyika katika Msikiti wa Sultan Iskandar ulioko Bandar Dato' Onn huko Johor, Malaysia, Jumapili jioni kwa ajili ya mshikamano na watu wa Palestina.
Habari ID: 3477920   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/20

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
NEW YORK (IQNA) – Waziri Mkuu wa Malaysia Datuk Seri Anwar Ibrahim alishutumu vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani kuwa ni vitendo vya "chuki dhidi ya Uislamu" ambavyo vinalenga kuchochea uhasama.
Habari ID: 3477632   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/22

KUALA LUMPUR (IQNA)- Klipu ya mashindi wa kategoria ya kuhifadhi katika Mashindano ya 63 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia 2023 imesambazwa mitandaoni.
Habari ID: 3477519   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/30

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) - Jopo la majaji wa shindano la 63 la kimataifa la Qur'ani la Malaysia lilitangaza washindi wa toleo hili la shindano hilo.
Habari ID: 3477491   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24

Mashindano ya Qur'ani
KUALA LUMPUR (IQNA) – Alireza Bijani, mwakilishi wa Iran katika kategoria ya kisomo ya mashindano ya 63 ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia, amewavutyia wengi kwa qiraa yake Jumanne usiku.
Habari ID: 3477483   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/23

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) Mashindano ya 63 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia yalianza rasmi Jumamosi usiku katika mji wa Kuala Lumpur.
Habari ID: 3477467   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/20

Harakati za Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) – Raundi ya mwisho ya toleo la 63 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Malaysia itaanza wikendi hii.
Habari ID: 3477445   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/16

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Ali Reza Bijani ataiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mashindano ya 63 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia.
Habari ID: 3477013   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Serikali imekubali kuchangia USD 450,000 kwa Jumuiya ya Kitaifa ya Taasisi za Kuhifadhi Qur'ani Tukufu (Tahfidh Al-Quran) ili kuwezesha taasisi za tahfiz nchini, amesema Naibu Waziri Mkuu Datuk Seri Dk Ahmad Zahid Hamidi.
Habari ID: 3476697   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/12

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya ngazi ya serikali ya Qur'ani Tukufu katika Kota Kinabalu, mji mkuu wa jimbo la Sabah la Malaysia, yalihitimishwa kwa walimu wawili wa shule kuibuka washindi katika sehemu za wanaume na wanawake.
Habari ID: 3476660   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim alitembelea Tamasha la Kimataifa la Sanaa la Qur'ani Tukufu la Restu, linaloendelea katika nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3476483   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29

Harakati za Qur'ani Kimataifa
TEHRAN (IQNA) - Mwambata wa kitamaduni wa Iraq nchini Malaysia alisema Tamasha la Sanaa la Qur'ani la Kimataifa la Restu linawapa watu fursa ya kujifunza kuhusu kazi za kimataifa za sanaa ya Qur'ani.
Habari ID: 3476441   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21

Harakati za Qur'ani Kimataifa
TEHRAN (IQNA) - Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Malaysia amesema nchi hizo mbili zinatarajia kuendelea kutumia 'Diplomasia ya Qur'ani Tukufu' kwa ajili ya kuimarisha uhusiano wa pande hizo mbili.
Habari ID: 3476435   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/20

Tamasha la Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Tamasha la Kimataifa la Sanaa la Qur'ani la Restu linatarajiwa kufanyika kuanzia Januari 20 hadi 29 huko Putrajaya, Malaysia, na waandaaji wametoa maelezo yake.
Habari ID: 3476383   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/10

Kongamano la Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tukio lililopewa jina la “Kongamano la Kimataifa la Qu’ani” lilifanyika Kuala Lumpur siku ya Jumamosi kwa kushirikisha mamia ya watu.
Habari ID: 3476198   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05

Qur'ani Tukufu katika Maisha
TEHRAN (IQNA) - Kongamano limepangwa kufanyika katika mji mkuu wa Malaysia Disemba 3 kujadili masuluhisho ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za siku hizi.
Habari ID: 3476185   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

Waislamu na Uislamu Malaysia
KUALA LUMPUR (IQNA) – Ukiwa na rangi ya kipekee ya waridi na usanifu majengo wa aina yake, Msikiti wa Putra unapatikana katika mji mkuu wa Malaysia,Kuala Lumpur.
Habari ID: 3476107   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

Mashindano ya Qur'ani
KUALA LUMPUR (IQNA) - Washindi wakuu wa Mashidano ya 62 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia walitangazwa na kutunukiwa zawad katika hafla ya kufunga hapa Jumatatu.
Habari ID: 3475987   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/25

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 62 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Malaysia yalianza rasmi Jumatano usiku katika mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur.
Habari ID: 3475957   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/20