IQNA – Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, alifungua rasmi Mashindano ya Kitaifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur'ani kwa mwaka 1446H/2025.
Habari ID: 3480604 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28
IQNA – Mvulana M malaysia mwenye tatizo la kiakili lijulikanalo kama usonji(autism) ameweza kuhifadhi Qur'ani nzima kwa kipindi kifupi cha miezi minne pekee.
Habari ID: 3480589 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/24
IQNA – Bi kizee mwenye umri wa miaka 117, anayeaminika kuwa miongoni mwa wazee zaidi nchini Malaysia, ameonyesha shukrani kwa kuwa na uwezo wa kusherehekea Idul Fitr nyingine akiwa na familia yake.
Habari ID: 3480486 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/02
IQNA – Licha ya ulemavu wa machi, Muhammad Hafizuddin Muhammad Amirul Hakim Linges mwenye umri wa miaka 10 ana uwezo wa kipekee.
Habari ID: 3480482 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/01
IQNA – Waziri mmoja wa Malaysia ameitaja Qur'ani kama nuru inayoongoza na dira kwa kila hatua maishani.
Habari ID: 3480402 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/19
IQNA – Malaysia inashuhudia ongezeko kubwa la watalii Waislamu wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480357 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/12
IQNA – Jimbo la Perlis nchini Malaysia limekamilisha mashindano ya Qur'ani ya ngazi ya jimbo ambapo wito ulitolewa ili kukuza utamaduni wa Qur'ani .
Habari ID: 3480269 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/26
Harakati za Qur'ani
IQNA – Taasisi ya Yayasan RI imetoa takriban $875,000 milioni kusaidia Mradi wa Tafsiri ya IshaRI, ukilenga kutafsiri Qur'ani Tukufu katika Lugha ya Ishara ya Malaysia (MSL) kwa jamii ya viziwi.
Habari ID: 3479789 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22
Teknolojia
IQNA - Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim amedokeza umuhimu wa kuwapa vijana wa Kiislamu elimu ya Kiislamu na ujuzi wa kiteknolojia ili kufundisha maadili ya Kiislamu katika nyanja kama vile Akili Mnemba (AI).
Habari ID: 3479736 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11
Diplomasia ya Qur'ani
IQNA - Maafisa kutoka Iran na Malaysia wamesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano katika nyanja za Qur'ani.
Habari ID: 3479630 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/22
IQNA - Ukumbi wa Kituo cha Biashara Cha Dunia huko Kuala Lumpur kilikuwa mwenyeji wa sherehe za kufunga Mashindano ya 64 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia Jumamosi usiku, Oktoba 12, 2024.
Habari ID: 3479589 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13
Harakati za Kiislamu
IQNA - Mwanasiasa wa Malaysia amesisitiza kuhusu umuhimu wa kufuata Sira ya Mtukufu Mtume Muammad (SAW) kwa Umma wa Kiislamu ili kufikia umoja.
Habari ID: 3479588 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashidano ya 64 Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Malaysia yamemalizika Jumamosi huku washindi wakitunukiwa zawadi.
Habari ID: 3479583 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Vigezo vinavyotumiwa na majaji katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia vimeimarika mwaka huu, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479581 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12
IQNA - Siku ya sita ya Mashindano ya Kimataifa la Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani Malaysia (MTHQA) yameendelea tarehe 10 Oktoba 2024, huku makumi ya washindani wakipanda jukwani.
Habari ID: 3479578 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12
Qur'ani na Maisha
IQNA - Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia Fadillah Yusof amesisitiza umuhimu wa Qur'ani Tukufu kama mfumo elekezi wa utawala, mwenendo wa kibinafsi, na maelewano ya kijamii.
Habari ID: 3479573 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/11
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mfalme na Malkia wa Malaysia wameandaa hafla ya chai ili kuwaenzi washiriki na majaji wa Mkutano wa 64 wa Kimataifa wa Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Malaysia (MTHQA).
Habari ID: 3479568 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Qari wa Iran Hamid Reza Nasiri amewasili katika mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur kushiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3479565 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/09
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Siku ya tatu ya mashindano ya 64 ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia ilishuhudia washindani tisa katika kitengo cha qiraa wakipanda jukwani katika ukumbi wa Kituo cha Biashara Duniani jijini Kuala Lumpur siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3479561 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya 64 wa Kimataifa wa Kusoma na Kuhifadhi Qur'ani wa Malaysia yalifunguliwa rasmi Jumamosi, ambapo yana washiriki 92 kutoka nchi 71.
Habari ID: 3479548 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06