iqna

IQNA

malaysia
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani katika jimbo la Sabah nchini Malaysia yamezinduliwa katika mji wa Kota Kinabalu Jumatano
Habari ID: 3478727    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24

Harakati za Qur'ani
IQNA - Tafsiri au tarjuma ya kwanza ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Dusun imezinduliwa katika hafla ya Jumapili huko Kota Kinabalu, Malaysia
Habari ID: 3478613    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/01

Utalii wa Kiislamu
IQNA - Mpango umezinduliwa nchini Malaysia ili kuvutia watalii wa ndani na nje katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478210    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/18

Kadhia ya Palestina
KUALA LUMPUR (IQNA) – Hujjatul Islam Seyed Abdul Fattah Navab, mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija na Hija, na Mkuu wa Baraza la Ushauri la Jumuiya za Kiislamu la Malaysia (MAPIM) Sheikh Muhammad Azmi Abdulhamid wamekutan hapa kwenye mkutano wikendi hii.
Habari ID: 3477984    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04

KUALA LUMPUR (IQNA) – Mkutano ulifanyika katika Msikiti wa Sultan Iskandar ulioko Bandar Dato' Onn huko Johor, Malaysia, Jumapili jioni kwa ajili ya mshikamano na watu wa Palestina.
Habari ID: 3477920    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/20

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
NEW YORK (IQNA) – Waziri Mkuu wa Malaysia Datuk Seri Anwar Ibrahim alishutumu vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani kuwa ni vitendo vya "chuki dhidi ya Uislamu" ambavyo vinalenga kuchochea uhasama.
Habari ID: 3477632    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/22

KUALA LUMPUR (IQNA)- Klipu ya mashindi wa kategoria ya kuhifadhi katika Mashindano ya 63 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia 2023 imesambazwa mitandaoni.
Habari ID: 3477519    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/30

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) - Jopo la majaji wa shindano la 63 la kimataifa la Qur'ani la Malaysia lilitangaza washindi wa toleo hili la shindano hilo.
Habari ID: 3477491    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24

Mashindano ya Qur'ani
KUALA LUMPUR (IQNA) – Alireza Bijani, mwakilishi wa Iran katika kategoria ya kisomo ya mashindano ya 63 ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia, amewavutyia wengi kwa qiraa yake Jumanne usiku.
Habari ID: 3477483    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/23

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) Mashindano ya 63 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia yalianza rasmi Jumamosi usiku katika mji wa Kuala Lumpur.
Habari ID: 3477467    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/20

Harakati za Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) – Raundi ya mwisho ya toleo la 63 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Malaysia itaanza wikendi hii.
Habari ID: 3477445    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/16

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Ali Reza Bijani ataiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mashindano ya 63 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia.
Habari ID: 3477013    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Serikali imekubali kuchangia USD 450,000 kwa Jumuiya ya Kitaifa ya Taasisi za Kuhifadhi Qur'ani Tukufu (Tahfidh Al-Quran) ili kuwezesha taasisi za tahfiz nchini, amesema Naibu Waziri Mkuu Datuk Seri Dk Ahmad Zahid Hamidi.
Habari ID: 3476697    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/12

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya ngazi ya serikali ya Qur'ani Tukufu katika Kota Kinabalu, mji mkuu wa jimbo la Sabah la Malaysia, yalihitimishwa kwa walimu wawili wa shule kuibuka washindi katika sehemu za wanaume na wanawake.
Habari ID: 3476660    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim alitembelea Tamasha la Kimataifa la Sanaa la Qur'ani Tukufu la Restu, linaloendelea katika nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3476483    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29

Harakati za Qur'ani Kimataifa
TEHRAN (IQNA) - Mwambata wa kitamaduni wa Iraq nchini Malaysia alisema Tamasha la Sanaa la Qur'ani la Kimataifa la Restu linawapa watu fursa ya kujifunza kuhusu kazi za kimataifa za sanaa ya Qur'ani.
Habari ID: 3476441    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21

Harakati za Qur'ani Kimataifa
TEHRAN (IQNA) - Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Malaysia amesema nchi hizo mbili zinatarajia kuendelea kutumia 'Diplomasia ya Qur'ani Tukufu' kwa ajili ya kuimarisha uhusiano wa pande hizo mbili.
Habari ID: 3476435    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/20

Tamasha la Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Tamasha la Kimataifa la Sanaa la Qur'ani la Restu linatarajiwa kufanyika kuanzia Januari 20 hadi 29 huko Putrajaya, Malaysia, na waandaaji wametoa maelezo yake.
Habari ID: 3476383    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/10

Kongamano la Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tukio lililopewa jina la “Kongamano la Kimataifa la Qu’ani” lilifanyika Kuala Lumpur siku ya Jumamosi kwa kushirikisha mamia ya watu.
Habari ID: 3476198    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05

Qur'ani Tukufu katika Maisha
TEHRAN (IQNA) - Kongamano limepangwa kufanyika katika mji mkuu wa Malaysia Disemba 3 kujadili masuluhisho ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za siku hizi.
Habari ID: 3476185    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02