malaysia

IQNA

IQNA – Mlipuko mkubwa wa fataki uliomkumba Eiman Najwan Anwar Fuad ulimnyang’anya uwezo wa kuona na kuharibu mikono yake akiwa na umri wa miaka 22.
Habari ID: 3481863    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/29

IQNA – Mkutano wa Kwanza wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu kwa Ajili ya Palestina uliofanyika Kuala Lumpur, Malaysia, umekamilisha shughuli zake kwa kutoa tamko la mwisho.
Habari ID: 3481844    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/25

IQNA – Katibu Mkuu wa Jukwaa la Kimataifa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) amekutana na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Malaysia.
Habari ID: 3481836    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/23

IQNA-Katika Mkutano wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu na Palestina uliofanyika Malaysia, wazungumzaji walilitaja suala la Palestina kuwa “ dira ya maadili ya Ummah wa Kiislamu” na kusisitiza umuhimu wa kuubadilisha umoja wa Kiislamu kutoka maneno ya majukwaani hadi mkakati wa kivitendo.
Habari ID: 3481833    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/22

IQNA – Katibu Mkuu wa Jukwaa la Kimataifa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu (WFPIST) amesisitiza haja ya kuimarisha umoja na kudumisha umakini wa ulimwengu wa Kiislamu kuhusu suala la Palestina.
Habari ID: 3481825    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/20

IQNA – Baraza la Mashauriano la Mashirika ya Kiislamu Malaysia (MAPIM) limetoa tamko likieleza kuunga mkono msimamo wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kuhusu kumweka rais wa Marekani kuwa na dhima juu ya vifo na uharibifu uliotokana na machafuko ya hivi karibuni nchini Iran.
Habari ID: 3481821    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/19

IQNA – Kifaa kipya cha kielektroniki cha eBraille kilichotengenezwa nchini Malaysia kimeleta mageuzi makubwa katika kujifunza Qur'ani Tukufu kwa watu wenye uoni hafifu, au ulemavu wa macho kwa kuwapa uwezo wa kupata maandiko ya dini moja kwa moja kwa njia ambayo haijawahi kupatikana hapo awali, sambamba na kufungua fursa katika nyanja nyingine za elimu.
Habari ID: 3481789    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/11

IQNA – Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa amesifu msaada wa Malaysia kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3481776    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/06

IQNA – Malaysia imeanza kuchapisha nakala 20,000 za Qur’an Tukufu zikiwa na tarjuma ya Kitamil.
Habari ID: 3481687    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20

IQNA – Mkutano wa Dunia wa Qur’ani 2025 umefunguliwa Jumapili jijini Kuala Lumpur kwa wito mkali kwa viongozi wa Kiislamu na jamii kugeuza thamani za Qur’ani kuwa mikakati halisi ya kijamii na kiuchumi, ukisisitiza nafasi ya Kitabu Kitukufu kama mwongozo wa vitendo katika utungaji sera na utatuzi wa changamoto za kisasa.
Habari ID: 3481625    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/07

IQNA – Kitabu kipya chenye tafakuri fupi 365 za kila siku kuhusu Qur’ani kimezinduliwa mjini Petaling Jaya, Malaysia, siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3481621    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06

IQNA – Mkutano wa Dunia wa Qur’ani 2025 ukifunguliwa Kuala Lumpur mwishoni mwa wiki hii, ukitoa jukwaa la mazungumzo kati ya ujuzi wa kielimu wa kiroho na vitendo vya kiviwanda.
Habari ID: 3481611    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/03

IQNA – Serikali ya Malaysia imezindua mfumo mpya uitwao iTAQ unaotumia teknolojia ya Akili Mnemba (AI) kuharakisha mchakato wa kuthibitisha usahihi wa machapisho ya nakala za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3481441    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/31

IQNA – Mwanazuoni na mwanaharakati kutoka Malaysia ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kuonesha mshikamano kwa vitendo badala ya maneno, akisisitiza kuwa Qibla ya pamoja inapaswa kuwa msingi wa mshikamano wa Ummah.
Habari ID: 3481275    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Mwanaharakati kutoka Malaysia amesema kuwa mataifa ya Kiislamu yanapaswa kuangazia mambo yanayowafungamanisha na kushikamana kukabiliana na changamoto za pamoja.
Habari ID: 3481257    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/20

IQNA- Waislamu wa jimbo la Kedah nchini Malaysia wamepata fursa adhimu ya kubadilisha nakala zao za Qur'anI zilizochakaa au kuharibika kwa nakala mpya zilizoidhinishwa rasmi na Wizara ya Mambo ya Ndani bila malipo.
Habari ID: 3481194    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/07

IQNA – Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) wamepongezwa kwa mafanikio yao katika Jukwaa la Kimataifa la Uhakiki wa Ijazah za Qur’ani na Kuheshimu Maqari wa ASEAN, lililofanyika nchini Malaysia.
Habari ID: 3481180    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/03

IQNA – Mufti wa New Zealand ameipongeza hafla ya Malaysia 'Quran Hour' yaani Saa ya Qur'ani kwa kuhamasisha Waislamu kuhusu Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3481165    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/31

IQNA-Ujumbe wa viongozi wa kidini kutoka Iran, wakiongozwa na Ayatullah Alireza Arafi na Ayatullah Ahmad Mobaleghi, umefanya ziara ya siku tatu nchini Malaysia kwa lengo la kuimarisha mahusiano ya muda mrefu ya kielimu na kidini kati ya mataifa hayo mawili.
Habari ID: 3481159    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30

IQNA – Jimbo la Sarawak, Malaysia limeanzisha mbinu rafiki kwa mazingira katika kuheshimu na kuondosha nakala zilizochakaa za Misahafu au Qur’an Tukufu.
Habari ID: 3481094    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/16