IQNA – Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia amewapongeza washindi wakuu wa mashindano ya kitaifa ya Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3482155 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/20
IQNA – Baraza la Kimataifa la Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani Tukufu na Sunnah limezinduliwa mjini Kuala Lumpur, Malaysia, siku ya Jumapili.
Habari ID: 3482154 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/20
IQNA – Zaidi ya nakala 6,600 za Qur’ani Tukufu na maandiko yanayohusiana nayo, zenye thamani ya zaidi ya RM378,000, zimekamatwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Malaysia katika operesheni ya miezi mitatu baada ya kubainika kuwa hazikukidhi viwango vya kidini au zilikuwa na makosa.
Habari ID: 3482149 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/18
IQNA – Katika juhudi za kuinua umahiri wa kusoma na kuelewa Qur’ani Tukufu kwa mpangilio wa kitaasisi, Baraza la Kiislamu la Sarawak (SUC) nchini Malaysia linaendeleza upanuzi wa mtandao wa vituo vya “Rumah Ngaji,” likihama kutoka madarasa ya hapa na pale kwenda mpango ulioratibiwa katika ngazi ya jimbo zima.
Habari ID: 3482108 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/31
Rais wa Iran katika mazungumzo na Waziri Mkuu wa Malaysia
IQNA-Rais wa Iran amesema katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Malaysia kwamba nchi za Kiislamu hazipaswi kuwaruhusu maadui kupanda mbegu za mifarakano na kuwasha moto wa vita.
Habari ID: 3482094 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/27
IQNA – Mpango mkubwa nchini Malaysia wa kusambaza nakala milioni moja za Qur'ani Tukufu kupitia mfumo wa waqf unakaribia kufikia lengo lake la mwisho kwa kasi kubwa.
Habari ID: 3481964 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/20
IQNA-Malaysia inaendelea kutumia diplomasia ya kitamaduni na kidini kwa kusambaza nakala 40,000 za Qur’ani Tukufu zenye tarjuma katika lugha mbali mbali huko Marekani na Afrika Magharibi.
Habari ID: 3481898 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/07
IQNA-Malaysia iko mbioni kuanzisha chuo kikuu maalumu kwa elimu za Qur’ani, kufuatia ridhaa ya Sultan wa Pahang ya kubadilisha jina la taasisi ya elimu iliyopo tayari.
Habari ID: 3481897 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/07
IQNA – Katika juhudi za kuwaongoza vijana kupitia malezi ya kiroho, kijamii na kitaaluma, serikali ya Malaysia iko mbioni kuanzisha mtandao wa misikiti itakayofanya kazi kama vituo vya mstari wa mbele kwa shughuli za maendeleo ya vijana.
Habari ID: 3481890 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/04
IQNA – Mlipuko mkubwa wa fataki uliomkumba Eiman Najwan Anwar Fuad ulimnyang’anya uwezo wa kuona na kuharibu mikono yake akiwa na umri wa miaka 22.
Habari ID: 3481863 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/29
IQNA – Mkutano wa Kwanza wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu kwa Ajili ya Palestina uliofanyika Kuala Lumpur, Malaysia, umekamilisha shughuli zake kwa kutoa tamko la mwisho.
Habari ID: 3481844 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/25
IQNA – Katibu Mkuu wa Jukwaa la Kimataifa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) amekutana na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Malaysia.
Habari ID: 3481836 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/23
IQNA-Katika Mkutano wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu na Palestina uliofanyika Malaysia, wazungumzaji walilitaja suala la Palestina kuwa “ dira ya maadili ya Ummah wa Kiislamu” na kusisitiza umuhimu wa kuubadilisha umoja wa Kiislamu kutoka maneno ya majukwaani hadi mkakati wa kivitendo.
Habari ID: 3481833 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/22
IQNA – Katibu Mkuu wa Jukwaa la Kimataifa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu (WFPIST) amesisitiza haja ya kuimarisha umoja na kudumisha umakini wa ulimwengu wa Kiislamu kuhusu suala la Palestina.
Habari ID: 3481825 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/20
IQNA – Baraza la Mashauriano la Mashirika ya Kiislamu Malaysia (MAPIM) limetoa tamko likieleza kuunga mkono msimamo wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kuhusu kumweka rais wa Marekani kuwa na dhima juu ya vifo na uharibifu uliotokana na machafuko ya hivi karibuni nchini Iran.
Habari ID: 3481821 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/19
IQNA – Kifaa kipya cha kielektroniki cha eBraille kilichotengenezwa nchini Malaysia kimeleta mageuzi makubwa katika kujifunza Qur'ani Tukufu kwa watu wenye uoni hafifu, au ulemavu wa macho kwa kuwapa uwezo wa kupata maandiko ya dini moja kwa moja kwa njia ambayo haijawahi kupatikana hapo awali, sambamba na kufungua fursa katika nyanja nyingine za elimu.
Habari ID: 3481789 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/11
IQNA – Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa amesifu msaada wa Malaysia kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3481776 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/06
IQNA – Malaysia imeanza kuchapisha nakala 20,000 za Qur’an Tukufu zikiwa na tarjuma ya Kitamil.
Habari ID: 3481687 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20
IQNA – Mkutano wa Dunia wa Qur’ani 2025 umefunguliwa Jumapili jijini Kuala Lumpur kwa wito mkali kwa viongozi wa Kiislamu na jamii kugeuza thamani za Qur’ani kuwa mikakati halisi ya kijamii na kiuchumi, ukisisitiza nafasi ya Kitabu Kitukufu kama mwongozo wa vitendo katika utungaji sera na utatuzi wa changamoto za kisasa.
Habari ID: 3481625 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/07
IQNA – Kitabu kipya chenye tafakuri fupi 365 za kila siku kuhusu Qur’ani kimezinduliwa mjini Petaling Jaya, Malaysia, siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3481621 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06