Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya 64 wa Kimataifa wa Kusoma na Kuhifadhi Qur'ani wa Malaysia yalifunguliwa rasmi Jumamosi, ambapo yana washiriki 92 kutoka nchi 71.
Habari ID: 3479548 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06
IQNA - Toleo la 64 la Mashindano ya Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani nchini Malaysia (MTHQA) lilifunguliwa rasmi Kuala Lumpur mnamo Oktoba 5, 2024.
Habari ID: 3479544 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 64 la Mashindano ya Kimataifa la Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani ya Malaysia (MTHQA) yamefunguliwa rasmi leo usiku huko Kuala Lumpur.
Habari ID: 3479540 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/05
Umoja wa Kiislamu
IQNA - Rais wa Baraza la Ushauri la Mashirika ya Kiislamu ya Malaysia (MAPIM) alitoa wito kwa nchi za Kiislamu kutuma majeshi yao kukabiliana na ukatili wa utawala wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479487 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25
Waislamu Malaysia
IQNA - Serikali ya Malaysia imethibitisha dhamira yake ya kuwawezesha vijana wanaohifadhi Qur'ani Tukufu ili kuhakikisha wanafaulu katika fani hiyo sambamba na kuwapa ujuzi katika nyanja zingine za kitaaluma.
Habari ID: 3479442 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16
Ulimwengu wa Kiislamu
IQNA - Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia Fadillah Yusof alikabidhi nakala za tafsiri na tarjuma za Qur’ani Tukufu katika Kihispania na Kilatini kwa msikiti mmoja nchini Peru.
Habari ID: 3479289 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/17
Waislamu Malaysia
IQNA - Serikali ya Malaysia inaunga mkono wahifadhi Qur'ani katika kupata taaluma zinginezo za kikao, anasema Naibu Waziri Mkuu Ahmad Zahid Hamidi.
Habari ID: 3479255 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10
Dini
IQNA – Mwingiliano kati ya Waislamu na jumuiya nyingine ni muhimu kwa ajili ya kukuza maelewano na kuzuia kutokuelewana kunakochangia chuki dhidi ya Uislamu, amesema Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim.
Habari ID: 3479200 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30
Diplomasia ya Kiislamu
IQNA - Mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur uliandaa mkutano wa kimataifa wa viongozi wa kidini siku ya Jumanne.
Habari ID: 3478792 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/08
Umoja wa Waislamu
IQNA - Mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur unatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa zaidi wa kimataifa wa viongozi wa kidini barani Asia.
Habari ID: 3478776 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/05
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani katika jimbo la Sabah nchini Malaysia yamezinduliwa katika mji wa Kota Kinabalu Jumatano
Habari ID: 3478727 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24
Harakati za Qur'ani
IQNA - Tafsiri au tarjuma ya kwanza ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Dusun imezinduliwa katika hafla ya Jumapili huko Kota Kinabalu, Malaysia
Habari ID: 3478613 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/01
Utalii wa Kiislamu
IQNA - Mpango umezinduliwa nchini Malaysia ili kuvutia watalii wa ndani na nje katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478210 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/18
Kadhia ya Palestina
KUALA LUMPUR (IQNA) – Hujjatul Islam Seyed Abdul Fattah Navab, mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija na Hija, na Mkuu wa Baraza la Ushauri la Jumuiya za Kiislamu la Malaysia (MAPIM) Sheikh Muhammad Azmi Abdulhamid wamekutan hapa kwenye mkutano wikendi hii.
Habari ID: 3477984 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04
KUALA LUMPUR (IQNA) – Mkutano ulifanyika katika Msikiti wa Sultan Iskandar ulioko Bandar Dato' Onn huko Johor, Malaysia, Jumapili jioni kwa ajili ya mshikamano na watu wa Palestina.
Habari ID: 3477920 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/20
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
NEW YORK (IQNA) – Waziri Mkuu wa Malaysia Datuk Seri Anwar Ibrahim alishutumu vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani kuwa ni vitendo vya "chuki dhidi ya Uislamu" ambavyo vinalenga kuchochea uhasama.
Habari ID: 3477632 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/22
KUALA LUMPUR (IQNA)- Klipu ya mashindi wa kategoria ya kuhifadhi katika Mashindano ya 63 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia 2023 imesambazwa mitandaoni.
Habari ID: 3477519 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/30
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) - Jopo la majaji wa shindano la 63 la kimataifa la Qur'ani la Malaysia lilitangaza washindi wa toleo hili la shindano hilo.
Habari ID: 3477491 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24
Mashindano ya Qur'ani
KUALA LUMPUR (IQNA) – Alireza Bijani, mwakilishi wa Iran katika kategoria ya kisomo ya mashindano ya 63 ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia, amewavutyia wengi kwa qiraa yake Jumanne usiku.
Habari ID: 3477483 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/23
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) Mashindano ya 63 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia yalianza rasmi Jumamosi usiku katika mji wa Kuala Lumpur.
Habari ID: 3477467 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/20