iqna

IQNA

Harakati za Qur'ani Tukufu
KUALA LUMPUR (IQNA) – Raundi ya mwisho ya toleo la 63 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Malaysia itaanza wikendi hii.
Habari ID: 3477445    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/16

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Ali Reza Bijani ataiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mashindano ya 63 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia.
Habari ID: 3477013    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Serikali imekubali kuchangia USD 450,000 kwa Jumuiya ya Kitaifa ya Taasisi za Kuhifadhi Qur'ani Tukufu (Tahfidh Al-Quran) ili kuwezesha taasisi za tahfiz nchini, amesema Naibu Waziri Mkuu Datuk Seri Dk Ahmad Zahid Hamidi.
Habari ID: 3476697    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/12

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya ngazi ya serikali ya Qur'ani Tukufu katika Kota Kinabalu, mji mkuu wa jimbo la Sabah la Malaysia, yalihitimishwa kwa walimu wawili wa shule kuibuka washindi katika sehemu za wanaume na wanawake.
Habari ID: 3476660    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim alitembelea Tamasha la Kimataifa la Sanaa la Qur'ani Tukufu la Restu, linaloendelea katika nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3476483    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29

Harakati za Qur'ani Kimataifa
TEHRAN (IQNA) - Mwambata wa kitamaduni wa Iraq nchini Malaysia alisema Tamasha la Sanaa la Qur'ani la Kimataifa la Restu linawapa watu fursa ya kujifunza kuhusu kazi za kimataifa za sanaa ya Qur'ani.
Habari ID: 3476441    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21

Harakati za Qur'ani Kimataifa
TEHRAN (IQNA) - Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Malaysia amesema nchi hizo mbili zinatarajia kuendelea kutumia 'Diplomasia ya Qur'ani Tukufu' kwa ajili ya kuimarisha uhusiano wa pande hizo mbili.
Habari ID: 3476435    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/20

Tamasha la Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Tamasha la Kimataifa la Sanaa la Qur'ani la Restu linatarajiwa kufanyika kuanzia Januari 20 hadi 29 huko Putrajaya, Malaysia, na waandaaji wametoa maelezo yake.
Habari ID: 3476383    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/10

Kongamano la Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tukio lililopewa jina la “Kongamano la Kimataifa la Qu’ani” lilifanyika Kuala Lumpur siku ya Jumamosi kwa kushirikisha mamia ya watu.
Habari ID: 3476198    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05

Qur'ani Tukufu katika Maisha
TEHRAN (IQNA) - Kongamano limepangwa kufanyika katika mji mkuu wa Malaysia Disemba 3 kujadili masuluhisho ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za siku hizi.
Habari ID: 3476185    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

Waislamu na Uislamu Malaysia
KUALA LUMPUR (IQNA) – Ukiwa na rangi ya kipekee ya waridi na usanifu majengo wa aina yake, Msikiti wa Putra unapatikana katika mji mkuu wa Malaysia,Kuala Lumpur.
Habari ID: 3476107    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

Mashindano ya Qur'ani
KUALA LUMPUR (IQNA) - Washindi wakuu wa Mashidano ya 62 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia walitangazwa na kutunukiwa zawad katika hafla ya kufunga hapa Jumatatu.
Habari ID: 3475987    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/25

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 62 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Malaysia yalianza rasmi Jumatano usiku katika mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur.
Habari ID: 3475957    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/20

TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa maafisa, washiriki 41 kutoka nchi 31 wamepangwa kushiriki katika duru ya mwisho ya toleo la 62 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia.
Habari ID: 3475896    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/08

Waziri Mkuu wa Malaysia
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Malaysia Ismail Sabri Yaakob amewasihi Waislamu kurejelea Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume Muhammad SAW kama miongozo wakati wa kushughulika na kutokuelewana.
Habari ID: 3475445    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01

TEHRAN (IQNA) - Katika kampeni iliyoitwa 'Hands Off Al-Aqsa Mosque' (Achaneni na Msikiti wa Al Aqsa), Baraza la Ushauri la Malaysia la Mashirika ya Kiislamu (Mapim) na mashirika 43 yasiyo ya kiserikali (NGOs) yameonyesha mshikamano wao na Wapalestina.
Habari ID: 3475163    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24

Waziri Mkuu wa Malaysia
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Malaysia aliwataka Waislamu kuisoma na kuielewa kwa kina Qur'ani Tukufu ili wawe miongoni mwa wachamungu.
Habari ID: 3475142    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19

TEHRAN (IQNA) - Msikiti wa Putra ambao uko katika mji wa Putrajaya, Malaysia ni maarufu kama msikiti maridadi zaidi duniani.
Habari ID: 3474895    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/06

TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya usalama ya harakati za kupigania ukombozi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza yamefanikiwa kumnasa mmoja wa wahusika wa mauaji ya kigaidi ya msomi na mwanasayansi wa Kipalestina aliyeuliwa huko Malaysia.
Habari ID: 3474795    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/11

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeipongeza Malaysia kwa msimamo wake wa kupinga kuanzisha uhusiano na adui Mzayuni.
Habari ID: 3474629    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/02