iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Walowezi wa Kizayuni watenda jinai wameng'oa miembe 400 ya Wapalestina katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel katika Ukingo wa Magharibu wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474838    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/22