iqna

IQNA

IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani na Sunnah yameanza rasmi nchini Brazil, katika bara la Amerika ya Kusini.
Habari ID: 3481364    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/13

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Ahlu Bayti (AS) ni maneno yanayotumiwa kurejelea familia ya Mitume wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3477778    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/24

Qur'ani na kutafakari
TEHRAN (IQNA)- Wito wa kutafakri ni miongoni mwa mawaidha mazito katika dini ya Kiislamu na ni ya thamani na muhimu sana kiasi kwamba Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) amesema: “Saa ya kufikiri ina thamani zaidi kuliko miaka 60 ya ibada bila kufikiri”.
Habari ID: 3475309    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/30