IQNA-Eneo la Chinga, katika mkoa wa Nambula huko kaskazini mwa Msumbiji, limeshuhudia ufunguzi wa Msikiti Mkuu wa Kati wa eneo hilo.
Habari ID: 3482181 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/30
Bidhaa Halal
Tehran (IQNA)-Mauzo na matumizi ya bidhaa ‘Halal’, hasa vyakula na bidhaa za urembo, yanaongezeka nchini Msumbiji, kama ilivyo katika sehemu nyingine za dunia.
Habari ID: 3475388 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/17