iqna

IQNA

ukristo
Mazungumzo ya Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) Hujjatul Islam Mohammad Mehdi Imanipour na Patriaki Kirill wa Moscow wamefanya mazungumzo katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
Habari ID: 3476612    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Msomo wa Kijerumani anaamini kwamba Qur'ani Tukufu imesaidia kuimarisha utambulisho wa Kikristo.
Habari ID: 3475262    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/17

TEHRAN (IQNA)- Kozi ya mafunzo ya kidini imeandaliwa kwa pamoja baina ya Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu cha Iran kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Ujerumani cha Paderborn.
Habari ID: 3474178    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/10

TEHRAN (IQNA)-Kituo cha utamaduni cha Iran nchini Zimbabwe kimeandaa warsha ya “Uislamu na Ukristo” mjini Harare.
Habari ID: 3471124    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/16

IQNA-Warsha ya pili ya kieneo ya mazungumzo baina ya dini imefanyika nchini Zimbabwe kwa himaya ya Mwambata wa Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini humo.
Habari ID: 3470631    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/23

Kiongozi wa Kikristo nchini Samoa ameitaka serikali ya nchi hiyo ya Bahari ya Pasifiki kuupiga marufuku Uislamu.
Habari ID: 3470335    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/25