IQNA – Sheikh Khaled Al‑Jandi, mjumbe wa Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu nchini Misri, amesema kuwa, kwa mtazamo wake, Aya ya Kursi (Ayat al‑Kursi) ndiyo aya kuu na tukufu zaidi katika Qur’ani Tukufu, ingawa Qur’ani yote kwa ujumla ni neno la Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482203 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/05
Qur'ani Tukufu Inasemaje / 13
TEHRAN (IQNA) – Aya ya Qur’ani Tukufu inayojulikana kwa jina la Ayatul Kursi ina umuhimu na fadhila maalum kutokana na mafundisho yake muhimu.
Habari ID: 3475444 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/30