iqna

IQNA

Waislamu Kanada
OTTAWA (IQNA) – Shirika moja la Kiislamu nchini Kanada (Canada) limelaani matamshi ya "uchochezi" na "mgawanyiko" yaliyotolewa na wanasiasa wa Kanada, ikiwa ni pamoja na Waziri Mkuu Justin Trudeau, dhidi ya matakwa ya haki ya watu wanaopinga mtaala wa itikadi ya kijinsia shuleni ambao lengo lake na kupotosha watoto kimaadili na kifamilia.
Habari ID: 3477655    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26

TEHRAN (IQNA) - Uharibifu uliharibu milango ya msikiti huko St Paul, ni tukio la hivi karibuni la mashambulio mengi dhidi ya maeneo ya ibada ya Waislamu katika wiki za hivi karibuni katika eneo a Twin Cities nchini Marekani.
Habari ID: 3476992    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/12

IQNA-Uhalifu na hujuma zitokanazo na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) umeongezeka kwa asilimia 89 nchini Marekani.
Habari ID: 3470630    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/23

Katika kuendelea chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya, chama kimoja cha kisiasa Ujerumani kimependekeza kuzuiwa ujenzi wa misikiti nchini humo.
Habari ID: 3470338    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/26

Waislamu nchini Marekani wamebainisha wasiwasi wao mkubwa kuhusu wimbi jipya la chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu kufuatia mauaji yaliyofanyika California.
Habari ID: 3459724    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/04

Vitendo vya chuki na utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa vinaripotiwa kuongezeka siku baada ya siku hasa baada ya mashambulio ya kigaidi ya hivi karibuni katika mji mkuu wa nchi hiyo Paris.
Habari ID: 3455375    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/22

Misikiti Marekani imetakiwa kuwa katika hali ya tahadhari na kuimarishwa usalama kutokana na ghasia zinazotazamiwa kuibuliwa Oktoba 10 na makundi ya watu wenye misimamo mikali ya chuki dhidi ya Uislamu ambao wataandamana siku hiyo.
Habari ID: 3382994    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/07

Kijana Mwislamu mwenye asili ya Afrika nchini Marekani amekamatwa na polisi kwa kushukiwa kwamba saa ya ukuta aliokuwa ametengeneza ilikuwa ni bomu.
Habari ID: 3364546    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/18

Takwimu mpya zinaonyesha kuwa idadi ya jinai zinazosababishwa na chuki dhidi ya Waislamu zimeongezeka nchini Uingereza mwaka uliopita.
Habari ID: 3360838    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/09

Katika jitihada za kupunguza ongezeko la ubaguzi na chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu huko Malawi, jamii ya Waislamu nchini humo imeanzisha jitihada za kuwezesha vyombo vya habari kupata maelezo sahihi kuhusu Uislamu.
Habari ID: 3359965    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/07

Idara ya kuchunguza chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika Baraza Kuu la Waislamu Ufaransa imeonya kuhusu ongezeko la kasi la hujuma za chuki dhidi ya Uislamu na vitisho dhidi ya Waislamu nchini humo katika kipindi cha miezi sita iliyopita.
Habari ID: 3331842    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/21

Ripoti Maalumu ya IQNA
Sambamba na kuanza hujuma ya hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia nchini Yemen, kumeshuhudiwa kuongezeka kwa kasi chuki dhidi ya Ushia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran barani Afrika.
Habari ID: 3315877    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/18

Viongozi wa dini mbalimbali wamehudhuria katika msikiti wa Tempe katika jimbo la Arizona nchini Marekani na kulaani vikali hatua ya kundi la kibaguzi na linalopiga vita Uislamu ya kuvunjia heshima kitabu kitakatifu cha Qur'ani.
Habari ID: 3196196    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/23

Wanafunzi Waislamu katika jiji la New York wamekuwa wakikabiliwa na miamala ya kibaguzi na kuvunjiwa heshima kutokana na kuongezeka hisia za chuki dhidi ya dini Tukufu ya Uislamu nchini Marekani.
Habari ID: 2954393    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/09

Kuuliwa vijana watatu wanachuo Waislamu katika jimbo la Carolina Kaskazini nchini Marekani ni kitendo kinachopaswa kulaaniwa na ni kiashiria kingine cha hatari kubwa ya kuenea kwa vitendo vya ukatili na uchupaji mipaka.
Habari ID: 2858484    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/16

Mamia ya Waislamu nchini Sweden waliandamana Ijumaa kulaani kitendo cha kushambuliwa msikiti mmoja kwa bomu la petroli siku ya Alkhamisi.
Habari ID: 2637292    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/27

Kutokana na ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu huko Malawi, Waislamu nchini humo wameanzisha kampeni ya kuwashawishi wafuasi wa dini nyinginezo kuzingatia msingi wa ‘kuishi pamoja kwa amani’ ili kuzuia uwezekano wa kuibuka malumbano ya kidini katika nchi hiyo ya kusini wa Afrika.
Habari ID: 2621819    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/18