IQNA – Serikali ya Indonesia imeahidi kuwa changamoto za bajeti hazitasababisha kusitishwa kwa msaada kwa shule za Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3480881 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/02
IQNA – Mwanamume mwenye umri wa miaka 100 na mke wake wa miaka 95 kutoka Aceh ya Kati nchini Indonesia wanajiandaa kujiunga na mamilioni ya Waislamu katika ibada ya Hija ya mwaka huu, wakionyesha imani thabiti na uthabiti wa mwili katika uzee wao.
Habari ID: 3480697 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/17
Spika wa Bunge la Iran katika Swala ya Ijumaa Indonesia
IQNA-Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa wito kwa Waislamu kuimarisha umoja na kuwa sauti ya watu wa Palestina walioko Ukanda wa Gaza, ambao wanakumbwa na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Israel.
Habari ID: 3480692 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/16
IQNA – Hafla ya ‘Halal kwa Halal’ na mpango wa kutafakari kuhusu aya za Qur'ani zilifanyika kwa ushiriki mkubwa wa viongozi wa kidini, kitamaduni na kitaaluma katika Msikiti wa Al-Nur uliopo Jakarta, Indonesia.
Habari ID: 3480551 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16
IQNA – Indonesia iko tayari kutoa hifadhi ya muda kwa watoto na Wapalestina waliojeruhiwa kutokana na vita vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, amesema Rais Prabowo Subianto.
Habari ID: 3480518 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/09
IQNA – Qari mashuhuri wa Iran, Hamed Shakernejad, amesisitiza umuhimu wa diplomasia ya Qur'ani, akiiita daraja kati ya mataifa.
Habari ID: 3480389 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/17
IQNA – Balozi wa Iran nchini Indonesia amesisitiza shauku ya Jamhuri ya Kiislamu ya kupanua ushirikiano wa Qur’ani na nchi hiyo ya Kusini-Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3480381 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16
IQNA – Mwambata wa kitamaduni wa Iran, Mohammadreza Ebrahimi, amesema kwamba mikusanyiko ya Qur'ani iliyopangwa kufanyika Indonesia kwa kushirikisha maqari wa Iran inalenga kuimarisha umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3480375 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15
IQNA – Kila nchi ya Kiislamu ina desturi na mila zake linapokuja suala la mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480342 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/10
Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya masuala ya kidini ya Indonesia ilithibitisha kukamilika kwa mradi wa tarjuma ya Qur’ani Tukufu katika Kicirebon.
Habari ID: 3479682 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/01
Maelewano ya kidini
IQNA - Wakati wa safari yake katika nchi kubwa zaidi ya Waislamu duniani, Papa Francis alitembelea Msikiti wa Istighlal katika mji mkuu wa Indonesia wa Jakarta siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479389 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/06
Dini
IQNA - Indonesia inapanga kuzindua njia ya chini ya ardhi ya urafiki inayounganisha kanisa na msikiti mashuhuri huko Jakarta mwezi ujao, kabla ya ziara ya Papa Francis katika nchi hiyo yenye Waislamu wengi.
Habari ID: 3479190 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27
Harakati za Qur'ani
IQNA - Kitabu cha mwongozo cha kusoma nakala za nukta nundu (braille) za Qur'ani Tukufu kimezinduliwa nchini Indonesia.
Habari ID: 3478618 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/02
Ustamaduni
IQNA - Maafisa wa Indonesia wameweka jiwe na msingi na kuzindua ujenzi wa msikiti wa kwanza katika mji mkuu mpya wa nchi hiyo.
Habari ID: 3478214 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/18
Taazia
IQNA - Kamera ya usalama katika msikiti mmoja nchiniIndonesia ilirekodi wakati imamu alipoaga dunia wakati akiongoza sala ya asubuhi mnamo Januari 2, 2024.
Habari ID: 3478155 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/06
Mashindano ya Qur'ani
JAKARTA (IQNA) - Kituo cha Qur'ani chenye mfungamano na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) nchini Iraq kimeandaa mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Indonesia, na ku wahifadhi 200 kutoka kote nchini.
Habari ID: 3477802 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28
Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Seyyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran na Indonesia zina mitazamo ya pamoja kuhusu masuala ya kieneo na kimataifa na akabainisha kuwa nchi hizo mbili zimeshikamana na msimamo thabiti katika kuunga mkono haki za wananchi wa Palestina hadi Quds tukufu itakapokombolewa
Habari ID: 3477033 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/23
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitisha mkutano wa dharura kujadili hali ilivyo katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, baada ya askari wa utawala haramu wa Israel kuvamia Msikiti wa al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) na kuwalenga waumini wa Kipalestina kwa guruneti.
Habari ID: 3476827 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/07
Maafa
TEHRAN (IQNA) – Kuba kubwa la Msikiti Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Jakarta nchini Indonesia liliporomoka kufuatia moto mkubwa.
Habari ID: 3475962 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21
Mwisho Mwema (Khusnul Khatimah)
TEHRAN (IQNA) – Video imesambaa mitandaoni inayomuonyesha mwanamke wa Indonesia akianguka wakati akisoma aya za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3475817 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21