iqna

IQNA

indonesia
TEHRAN (IQNA) –Misikiti katika mji mkuu wa Indonesia, Jakarta, imefunguliwa Ijumaa kwa mara ya kwanza baada ya takribani miezi mitatu, huku nchi hiyo ikianza zuio ambalo limekuwepo ili kupunguza kasi ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472838    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/05

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Indonesia imesema raia wa nchi hiyo mwaka huu hawataweza kutekeleza Ibada ya Hija kutokana na hofu ya maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472827    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02

TEHRAN (IQNA) – Utawala wa jimbo la Java Mashariki nchini Indonesia umebatilisha idhini ya Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Akbar mjini Surabaya baada ya wataalamu kuonya kuhusu matokeo mabaya ya mjumuiko wa watu wengi wakati wa kipindi hiki cha janga la COVID-19.
Habari ID: 3472780    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/19

TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya misikiti imekaidi amri ya serikali ya nchi hiyo kuzuia kwa muda sala za jamaa katika misikiti ili kukabiliana na ugonjwa ambukizi wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472768    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/15

TEHRAN (IQNA) -Rais Joko Widodo wa Indonesia ametangaza hali ya hatari kitaifa nchini humo kufuatia kuenea ugojwa wa COVID-19 au corona huku akitangaza hatua za kuwasiadia watu wenye kipato cha chini.
Habari ID: 3472619    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/31

TEHRAN (IQNA) – Uongozi wa mkoa wa Aceh nchini Indonesia umepitisha sheria ya kuzitaka stesheni zote za televisheni na radio nchini humo kurusha hewani adhana ukiwadia wakati wa sala.
Habari ID: 3472385    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/19

TEHRAN (IQNA) - Vyuo vikuu vya umma nchini Indonesia vimetangaza kuwa vijana waliohifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu wanaweza kuingia katika vyuo vikuu pasina kufanya mtihani wa kawaida unaohitajika kuingia chuo kikuu.
Habari ID: 3472032    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/04

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Muungano wa Wasomaji na Waliohifadhi Qur'ani nchini Indonesia amesema hivi sasa kuna vituo 23,000 vya kufunza Qur'ani katika nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3472003    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/16

Tarehe 28 Septemba mwaka huu, Kisiwa cha Sulawesi nchini Indonesia kilikumbwa na zilzala au mtetemeko mkubwa wa ardhi ambao uliibua mawimbi ya baharaini maarufu kama Tsunani na kusababisha uharibifu mkubwa na watu zaidi ya 2000 kupoteza maisha.
Habari ID: 3471704    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/09

TEHRAN (IQNA) – Wagombea ubunge katika mji la Lhokseumawe katika jimbo la Acheh nchini Indonesia wameshiriki katika mtihani wa kusoma Qur'ani Tukufu kama sharti la kushiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2019.
Habari ID: 3471597    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/17

TEHRAN (IQNA)-Indonesia imetangza mpango wa kuzindia misikiti 1,000 ya 'kijani' kwa maana kuwa kwa maana kuwa ujenzi na utumizi wake umezingatia utunzwaji mazingira.
Habari ID: 3471268    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/18

TEHRAN (IQNA)-Bi. Baiq Mariah kutoka Indonesia ametmabuliwa kuwa Hujaji mwenye umri wa juu zaidi mwaka huu.
Habari ID: 3471144    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/27

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Syarif Hidayatullah mjini Jakarta, Indonesia kimepanga kuandaa kongamano la kimataifa la Qur’ani na Hadithi baadaye mwaka huu.
Habari ID: 3471127    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/17

TEHRAN (IQNA)-Kwa hakika hatujui ni wapi na ni lini mauti yatatufikia, hiyo ni siri ya Mola Muumba, Allah SWT.
Habari ID: 3470953    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/27

IQNA: Kongamano la Pili la Kimataifa la "Elimu ya Kiislamu na Utafiti wa Qur'ani na Hadithi za Mtume SAW" limepangwa kufanyika mjini Mataram, Indonesia Machi 2017.
Habari ID: 3470762    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/26

Wanaowania kugombea ugavana na unaibu gavana katika jimbo la Aceh nchini Indonesia wametahiniwa kuhusu uwezo wao wa kusoma Qur'ani kama sharti la kushiriki uchaguzi wa 2017.
Habari ID: 3470590    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/01

Shirika la moja la mafuta nchini Indonesia linawapa wenye magari petroli ya bure katika mji mkuu Jakarta kwa sharti la kusoma aya za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3470395    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/18

Mkutano wa Kimataifa wa Vyombo vya Habari vya Kiislamu (ICIM) umefunguliwa Jumatano nchini Indonesia.
Habari ID: 3470339    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/26

Serikali ya Indonesia imesema siku kadhaa baada ya maafa ya Mina, utawala wa Saudi Arabia umeizuia nchi yake kuwatambua au kutoa msaada wa kitiba kwa raia wake.
Habari ID: 3375825    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/30

Kongamano la kimataifa la "Uislamu, Rehema kwa Dunia" litafanyika Jakarta, Indonesia kuanzia Oktoba 13-16.
Habari ID: 3360473    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/08