IQNA – Utamaduni wa Ashura hauangalii kufa shahidi kama mwisho wa safari bali ni mwanzo wa kuamsho wa mataifa, amesema mwanazuoni kutoka Iran.
Habari ID: 3480900 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/05
Waislamu Shia Oman
Kundi la kigaidi la Daesh (ISIL au ISIS) limesema ndilo lililohusika na shambulio baya la kigaidi kwenye Msikiti wa Shia nchini Oman siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3479141 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17
Imamu Hussein (AS) karbala
IQNA- Imam Hussein (AS) alidhulumiwa na baadhi ya vipimo vingine vya mwamko wa Ashura vinaweza kuonekana katika baadhi ya aya za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3479082 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/07
Siku ya Ashura
TEHRAN (IQNA) – Nafasi ya wanawake katika mwamko wa Ashura yote imekuwa chanya. Sio tu kwamba kuna jukumu la wanawake wa kipekee kama Bibi Zaynab (SA) na Umm Salama, lakini pia hakuna ukandamizaji uliotekelezwa na na wanawake na kwani hata wake wa baadhi ya makamanda wa jeshi la Yazid bin Muawiya wamewakemea waume zao.
Habari ID: 3475602 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/10