Mawaidha
IQNA – Msomo mmoja wa Kiislamu kutoka Iran amesisitiza kuwa mfano wa Mtume Muhammad (SAW) katika uvumilivu, msamaha na uongozi wa kuunganisha jamii ni wa kipekee na haujawahi kulinganishwa hadi leo.
Habari ID: 3481232 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/14
IQNA-Wizara ya Mambo ya Dini na Wakfu nchini Algeria imetangaza kuanzishwa kwa mashindano ya kimataifa kuhusu Sira au mfumo wa maisha ya Mtume Muhammad (SAW) kwa muktadha wa kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume huyo wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3481195 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/07
IQNA – Maonyesho ya Kimataifa na Makumbusho ya Maisha ya Mtume Muhammad (SAW) pamoja na Ustaarabu wa Kiislamu yamezinduliwa katika Mnara wa Saa, katika mji mtukufu wa Makkah, siku ya Jumanne.
Habari ID: 3481152 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/29
IQNA –Mihadhara kuhusu “Nafasi na Umuhimu wa Familia katika Sira ya Mtume Mtukufu Muhammad (SAW)” imefanyika katika misikiti mbalimbali nchini Misri.
Habari ID: 3481031 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/02
Kumbukumbu ya kuaga dunia Mtume Muhammad SAW
IQNA-Mwezi 28 Mfunguo Tano Safar, inasadifiana na siku ya kukumbuka alipofariki dunia Bwana Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3475833 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24