iqna

IQNA

usawa
Sura za Qur'ani Tukufu /33
TEHRAN (IQNA) – Tofauti kati ya wanaume na wanawake ipo tu kwenye miili yao kwani wote wawili kwa mtazamo wa kiroho wako sawa na wanaweza kufikia ukamilifu. Uislamu hauoni tofauti kati ya wanaume na wanawake kwa mtazamo huu.
Habari ID: 3475870    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02