iqna

IQNA

Kadinali Malcolm Ranjith wa Kanisa Katoliki Sri Lanka amempongeza hayati Imam Khomeini MA kwa kusimama kidete kukabiliana na ubabe wa Marekani sambamba na kudumisha heshima na uhuru wa Iran.
Habari ID: 3470444    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/10