iqna

IQNA

Mtangazaji wa kanali ya televisheni ya CBC ya Misri ametoa matamshi machafu na ya dharau akidai kuwa ni upuuzi kufundisha muujiza wa Qur'ani na Suna za Mtume katika shule za nchi hiyo.
Habari ID: 1448156    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/08