iqna

IQNA

Ayatullah Mohsen Araqi
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu Ayatullah Mohsen Araqi ameashiria ufanisi wa mapambano ya watu wa Palestina mbele ya hujuma ya utawala wa Kizayuni katika vita vya hivi karibuni vya Ghaza.
Habari ID: 1448558    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/09