Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha nchini Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema kuwa, harakati hiyo imejiandaa kikamilifu kukabiliana kwa aina yoyote na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kwamba haiwezekani utawala huo uue watu kisha uishi salama.
Habari ID: 2790516 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/31
Wanachama wasiopungua sita wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah nchini Lebanon wameuawa, baada ya helikopta ya utawala wa Kizayuni wa Israel kushambulia kwa makombora maeneo ya milima ya Golan ndani ya ardhi ya Syria.
Habari ID: 2728169 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/19