TEHRAN (IQNA)- Washindi wa Duru ya Tano ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Wanawake Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wametangazwa.
Habari ID: 3474613 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/28
TEHRAN (IQNA)- Wawakilishi wa nchi takribani 50 wametangaza kuwa tayari kushiriki katika Duru ya Tano ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Wanawake Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)
Habari ID: 3474566 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/16
TEHRAN (IQNA)- Msahafu ambao umetajwa kuwa mkubwa zaidi duniani utaonyeshwa katika maonyesho ya Expo 2020 Dubai ambaye yanatazamiwa kuanza mjini humo baadaye mwezi Oktoba.
Habari ID: 3474242 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/31
TEHRAN (IQNA) - Tuzo ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Dubai (DIHQA) imetangaza kuanza kukubali maombi ya toleo la 5 la mashindano ya Qur'ani kwa wanawake.
Habari ID: 3474216 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/22
TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai imewaenzi wachapishaji na wasambazaji Misahafu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3474174 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/09
TEHRAN (IQNA)- Washindi wa Mashindano ya 24 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur’ani ya Dubai wametangazwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473849 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/25
TEHRAN (IQNA)- Duru ya Tisa ya Mashindano ya Qur’ani kwa ajili ya walemavu imeanza Jumamosi mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3473828 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/18
TEHRAN (IQNA)- Mpango mpya umezinduliwa mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu kwa lengo la kuwafadhili na kuwaunga mkono waalimu wa Qur’ani Tukufu kote duniani.
Habari ID: 3473672 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/22
TEHRAN (IQNA) – Duru ya 14 ya Mashindano ya Qur’ani ya Dubai nchini Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) inaendelea katika mji huo.
Habari ID: 3473377 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/20
TEHRAN (IQNA)- Manispaa ya Mji wa Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza kuwa watu milioni moja wameitembelea Bustani ya Qurani tangu ifunguliwe mjini humo mwezi Machi mwaka huu.
Habari ID: 3472226 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/22
TEHRAN (IQNA) – Duruy a Nne ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Maalumu kwa Wanawake ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yatakuwa na washiriki kutoka nchi 120.
Habari ID: 3472164 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/10
Jarida la Time
TEHRAN (IQNA) – Jarida la kimataifa la Time limetangaza orodha ya 'Maeneo 100 Bora ya Kutembelea Duniani 2019' na Bustani ya Qur'ani ya Dubai ni miongoni mwa maeneo hayo.
Habari ID: 3472099 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/25
TEHRAN (IQNA)- Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai wametangazwa Jumapili usiku baada ya kuchuana kwa muda wa siku 12.
Habari ID: 3471965 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/20
TEHRAN (IQNA)- Wawakilishi wa nchi 90 wanatazamiwa kushiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai.
Habari ID: 3471930 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/27
TEHRAN (IQNA)- Msichana mwenye umri wa miaka 19 na ambaye anaugua ugonjwa wa kupooza kwa ubongo (cerebral palsy) amefanikiwa kuhifadhi sura 42 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471927 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/24
TEHRAN (IQNA)-Bustani ya Qur'ani imezinduliwa Ijumaa katika Umoja wa Falme za Kiarabu mjini Dubai katika eneo la Al Khawaneej Ijumaa ambapo wageni watapa fursa ya kujifunza kuhusu miujiza ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471894 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/30
TEHRAN (IQNA)- Usajili umeanza kwa wanaotaka kushiriki katika duru ya 20 ya mashindano ya kimataifa ya Dubai nchini UAE ambayo rasmi yanajulikana kama Mashindano ya Qur'ani ya Sheikha Hind Bint Makhtoum.
Habari ID: 3471768 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/12
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya Qur'ani Tukufu maalumu kwa wale waliosilimu yatafanyika mjini Dubai nchini UAE.
Habari ID: 3471720 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/27
TEHRAN (IQNA)- Mmarekani Ahmad Burhan ametangazwa mshindani wa Mashindano ya 22 ya Kuhifadhi Qur’ani ya Dubai.
Habari ID: 3471545 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/06
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur'ani kwa waliosilimu yamefanyika hivi karibuni mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE.
Habari ID: 3471401 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/23