Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu na masuala ya Kiislamu ya Algeria inasema wasichana wa nchi hiyo wamekuwa wakifurahia sana kozi za Qur'ani Tukufu za msimu huu wa majira ya joto nchini humo..
Habari ID: 3479246 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/08
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, Idara ya Mahakama iwachukulie hatua kali waliohusika na kuwapa sumu wanafunzi.
Habari ID: 3476684 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/10
Wanawake na Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Kongamano la kila mwaka la Qur’ani la Jumuiya ya Qur’ani ya Wanawake na Wasichana ya Gambia liliandaliwa ili kukuza vipaji vya kielimu miongoni mwa wanachama wa jumuiya hiyo.
Habari ID: 3475321 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01
TEHRAN (IQNA)- Duru ya mwisho ya mchujo katika mashindano ya Qur’ani Tukufu ya wasichana imeanza nchini Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Jumatatu.
Habari ID: 3474956 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/21
Awamu ya kwanza ya mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu maalumu kwa wasichana yamepangwa kufanyika Dubai nchini Imarati kuanzia Novemba 6 hadi 18.
Habari ID: 3470488 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/02