iqna

IQNA

IQNA – Mjumbe wa jopo la majaji katika raundi ya mwisho ya uMashindano ya Kimataifa ya Qur’an ya 41 ya Iran alisisitiza kiwango cha juu cha washiriki katika kitengo cha kuhifadhi.
Habari ID: 3480132    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/31

IQNA – Toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani  Tukufu ya Port Said litaanza Ijumaa katika mji wa bandari wa Port Said, Misri.
Habari ID: 3480125    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/30

IQNA - Qari wa Iran anayesifika kimataifa Hamid Reza Ahmadi alisifu Mpango wa Amir al-Qurra nchini Iraq.
Habari ID: 3479103    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/10

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
IQNA –Raundi ya mwisho ya toleo la 8 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wanafunzi wa shule za Kiislamu duniani itaanza mjini Tehran siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3478351    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/14

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kitengo cha Kimataifa cha Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ktafunguliwa Jumatatu, Aprili 3, 2023.
Habari ID: 3476800    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/02

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Makala ya 4 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat yanatarajiwa kufanyika nchini Iran katika miezi ijayo.
Habari ID: 3475352    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/08

TEHRAN (IQNA) – Duru ya mchujo ya Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran imepangwa kuanzia Januari 9 mjini Tehran.
Habari ID: 3474780    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/08

TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, shambulio la kimtandao (cyber attack) dhidi ya vituo vya mafuta vya Jamhuri ya Kiislamu ni njama za maadui zilizolenga kuwahamakisha na kuvuruga maisha ya kila siku ya Wairani.
Habari ID: 3474485    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/28

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa na kusema jina za utawala wa Kizayuni wa Israel zimechupa mipaka.
Habari ID: 3473219    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/01

Tamasha la Kimataifa la mjukuu wa Mtume SAW, Imam Ridha AS, litafanyika nchini Iran na kushirikisha nchi 77 mwaka huu.
Habari ID: 3470491    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/03

Kongamano la Sita la Kimataifa la Utafiti wa Qur’ani litafanyika London, Uingereza mwezi Juni mwakani.
Habari ID: 3409346    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/29

Awamu ya 16 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Tukufu ya Russia yanatazamiwa kufanyika kuanzia tarehe 19 Oktoba katika mji mkuu wa nchi hiyo, Moscow.
Habari ID: 3361692    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/12

Kiongozi wa chama cha upinzani katika utawala wa Kizayuni wa Israel amesema utawala huo unakabiliwa na Intifadha ya kidiplomasia kutokana na kuongezeka harakati za vuguvugu la kususia bidhaa za Israel kote duniani.
Habari ID: 3311792    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/07

Wataalamu 22 wa Qur’ani Tukufu wameteuliwa katika jopo la majaji wa awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3293178    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/12

TEHRAN-IQNA- Mashindano ya 5 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Wanachuo Waislamu yamemalizika Jumapili mjini Tehran huku wawakilishi wa Iran na misri wakichukua nafasi za kwanza katika qiraa na hifdhi kwa taratibu.../mh 2671946
Habari ID: 2672141    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/05

Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema, madola yanayounga mkono ugaidi yanapaswa kuacha kutoa misaada yao ya moja kwa moja na isiyo ya moja kwa moja kwa magaidi na badala yake yashirikiane na waathirika wa ugaidi.
Habari ID: 2617107    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/09

Duru ya 36 ya Mashindano ya Kimatiafa ya Hifdhi, Qiraa na Tafsiri ya Qur’ani Tukufu yameanza leo Novemba 15 katika Msikitu Mkuu wa Makka (Masjid al-Haram) , Saudi Arabia.
Habari ID: 1473482    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/15