kimataifa - Ukurasa 2

IQNA

Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema, madola yanayounga mkono ugaidi yanapaswa kuacha kutoa misaada yao ya moja kwa moja na isiyo ya moja kwa moja kwa magaidi na badala yake yashirikiane na waathirika wa ugaidi.
Habari ID: 2617107    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/09

Duru ya 36 ya Mashindano ya Kimatiafa ya Hifdhi, Qiraa na Tafsiri ya Qur’ani Tukufu yameanza leo Novemba 15 katika Msikitu Mkuu wa Makka (Masjid al-Haram) , Saudi Arabia.
Habari ID: 1473482    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/15