IQNA – Katika Khitma ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, iliyofanyika katika Haramu Tukufu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, Qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Ahmad Abolqassemi, aliongoza usomaji wa aya za 64 hadi 71 za Surah An-Nisa pamoja na Surah Al-Fatiha.
Habari ID: 3482511 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/19