iqna

IQNA

Jinai za Israel
GENEVA (IQNA) - Kamati ya haki za watoto ya Umoja wa Mataifa imeonya kuhusu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya watoto katika vita vinavyoendelea vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Gaza, ikilaani vikali mauaji yanayotekelezwa na utawala huo dhidi watoto katika vita hivyo vya kikatili.
Habari ID: 3477828    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/02

Kadhia ya Palestina
SANTIAGO (IQNA) - Baada ya Bolivia kukata uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel, nchi nyingine mbili za Amerika ya Latini zimewataka mabalizo wao walioko Israel kurejea nyumbani.
Habari ID: 3477826    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/01

Kadhia ya Palestina
DOHA (IQNA) - Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) ulitoa fatwa siku ya Jumanne, ukizitaka nchi za Kiislamu kuingilia kati ili kuwaokoa watu wa Gaza kutokana na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3477825    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/01

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wa palestina wasiopungua 400, wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto, wamethibitishwa kuuawa na kujeruhiwa baada ya mashambulizi ya anga ya utawala katili wa Israel dhidi ya wakimbizi ya Jabaliya katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3477823    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/01

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Katika kueleza mafanikio ya subira na kusimama kidete Wa palestina katika Ukanda wa Gaza, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Watu wa Ghaza wameamsha dhamiri ya mwanadamu kwa subira yao.
Habari ID: 3477822    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/01

Kimbunga cha Al Aqsa
CAIRO (IQNA) – Sheikhe mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesifu ushujaa na ujasiri wa watu wa Ukanda wa Gaza katika kukabiliana na mashambulizi makali ya Israel.
Habari ID: 3477821    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/31

Chuki dhidi ya Uislamu
LONDON (IQNA) - Msikiti mmoja huko Oxford umelengwa na "shambulio la chuki dhidi ya Uislamu na kigaidi" kufuatia jamii ya Waislamu kuunga mkono Wa palestina wanaoteswa na Israel huko Gaza.
Habari ID: 3477812    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/30

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) - Mhimili wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) uko macho na hautaruhusu utawala wa Kizayuni kuibua Nakba (maafa) tena dhidi ya ya watu wa Palestina, mchambuzi wa kisiasa wa Lebanon alisema.
Habari ID: 3477811    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/30

Watetezi wa Palestina
TEHRAN (IQNA) -Makumi kwa maelfu ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina waliandamana nchini Uingereza Jumamosi wakitaka kusitishwa kwa mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na jeshi katili la Israel dhidi ya Wa palestina katika Ukanda wa Ghaza. Mbali na Uingereza, maandamano kama hayo yamefanyika pia Ufaransa na Uswisi.
Habari ID: 3477810    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/29

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo ya simu aliyofanya na Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad bin Khalifa Al Thani kwamba, leo taifa la Palestina linahitaji zaidi uungaji mkono athirifu wa walimwengu na hasa wa nchi za Kiislamu kuliko wakati wowote ule.
Habari ID: 3477809    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/29

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Sambamba na kuanza operesheni ndogo ya nchi kavu ya jeshi katili la utawala haramu Israel kwa lengo la kujipenyeza Ghaza usiku wa kuamkia leo, zaidi ya raia 100 Wa palestina wameuawa shahidi huku utawala huo ukilaaniwa kote duniani kwa kutekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wa palestina . Hayo yamejiri huku Umoja wa Mataifa ukitaka vita visitishwe mara moja.
Habari ID: 3477800    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28

Kadhia ya Palestina
LONDON (IQNA) - Wazayuni hawawakilishi Uyahudi na wanataka "kuwaangamiza" watu wa Palestina, kuhani mwenye makao yake nchini Uingereza anasema huku kukiwa na mashambulizi ya Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza yakiwa yamesababisha vifo vya zaidi ya Wa palestina 7,000 wengi wakiwa ni wanawake, watoto na wazee.
Habari ID: 3477793    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

Kimbunga cha Al Aqsa
AL-QUDS (IQNA) - Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema hadi sasa takriban watoto 2,360 walikuwa wameuawa katika mashambulizi ya anga ya  utawala wa Israel huko Gaza, na kubainisha masikitiko yake kuhusu idadi "ya kushtua" ya watoto waliojeruhiwa katika eneo hilo lililozingirwa.
Habari ID: 3477791    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/26

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu (WFPIST) ametoa wito kwa maafisa wa nchi za Kiislamu kuiunga mkono Palestina kwa vitendo badala ya kutoa matamshi tu ya kulaani.
Habari ID: 3477789    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/26

Taarifa Muhimu
TEHRAN (IQNA) –Wahadhiri 9,200 wa vyuo vikuu vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamelaani vikali ukatili wa utawala dhalimu wa Israel katika eneo la Palestina lililozingirwa la Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477783    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/24

AL-QUDS (IQNA) - Shambulio la anga la Israel limepiga  msikiti mmoja huko Jenin, eneo linalokaliwa kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi, huku kukiwa na mashambulizi ya mabomu katika Ukanda wa Gaza ambayo yamegharimu maisha ya zaidi ya Wa palestina 4,300. 
Habari ID: 3477776    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/23

Leo, maelfu ya akina mama wa Iran pamoja na watoto wao wameshiriki katika mikusanyiko mingi iliyofanyika kote nchini, kwa ajili ya kuwaunga mkono wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala wa Israel wa mauaji ya watoto.
Habari ID: 3477768    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/21

Katika siku ya 14 ya uvamizi wa Israeli dhidi ya Ghaza, jeshi linaloikalia kwa mabavu la utawala wa Kizayuni liliendelea kushambulia kwa mabomu maeneo ya makazi ya watu, jambo ambalo lilipelekea makumi ya watu kuuawa shahidi, Kuendelea kushambuliwa kwa mabomu huko Gaza kumesababisha mashahidi 3,785 na zaidi ya 12,000 kujeruhiwa, wengi wao wakiwa watoto na wanawake.
Habari ID: 3477767    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/21

TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina mjini Tehran alitoa wito kwa ulimwengu wa Kiislamu kukusanya nguvu zake zote ili kukabiliana na utawala wa Israel.
Habari ID: 3477763    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/19

TEHRAN (IQNA) - Kufuatia mawimbi ya hivi karibuni ya jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya watu wa Ghaza, hususan shambulio lake katika hospitali iliyoua takriban watu 500, kaburi la Imam Reza (AS) Lilinyanyua bendera nyeusi tarehe 18 mwezi Oktoba.
Habari ID: 3477761    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/19