iqna

IQNA

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Jordan inapaswa kujiandaa kwa "makabiliano ya kweli" na utawala haramu wa Israel, afisa wa zamani wa Jordan amesema.
Habari ID: 3476743    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas ilionyesha upinzani dhidi ya ushiriki wa makundi ya Wa palestina katika mkutano uliopangwa kufanyika huko Sharm El-Sheikh wa Misri unaodaiwa kuwa na lengo la kupunguza hali ya wasiwasi katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3476731    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Mamia ya Wa palestina wakazi wa mji wa Al Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel wameanzisha kampeni ya kuusafisha Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa sambamba na kukaribia mwandamo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476728    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19

Kususia utawala bandia wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya vipeperushi 20,000 vinavyowahimiza Waislamu kutizama lebo yaani #CheckTheLabel na kususia bidhaa za utawala haramu wa Israel vimesambazwa katika misikiti kote Uingereza, sanjari na Ijumaa ya mwisho kabla ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, waandaaji walisema Ijumaa.
Habari ID: 3476724    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/18

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu kuhujumu na kuuvamia Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3476714    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16

Kadhia ya Quds Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Kongamano la dini mbalimbali mjini Roma, Italia limesisitiza umuhimu wa uhuru wa kuabudu mjini al-Quds (Jeruslaem) kwa waumini wa dini za Kiislamu, Kikristo na Kiyahudi.
Habari ID: 3476696    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/12

Kiongozi wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, eneo bila kuwepo Israel si ndoto na matarajio tu bali ndio uhalisia utakashuhudiwa katika mustakabali.
Habari ID: 3476693    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/11

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio na maendeleo yanayoshuhudiwa hivi sasa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ishara tosha kuwa suala la kuporomoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni hakika ambayo itafanyika katika mustakabali wa karibu.
Habari ID: 3476679    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/08

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu ametoa tahadhari kutokana na wito wa waziri wa utawala wa Israel ambaye ametaka kuangamizwa kwa kijiji kizima cha Wa palestina .
Habari ID: 3476657    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/04

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa idara ya uhusiano wa kimataifa katika Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) anasema kushindwa kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa katika kushughulikia jinai iliyotendwa hivi karibuni na utawala haramu wa Israel katika eneo la Huwara ni jambo ambalo litaupa kiburi utawala huo kuendeleza jinai zake.
Habari ID: 3476650    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/03

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Baraza Kuu na nchi zote duniani, kutekeleza wajibu wao wa kimataifa wa kisheria, kiutu na kimaadili ili kuwatetea watu wasio na ulinzi wa Palestina na katika mkabala wa uvamizi na hujuma za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3476645    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili ameitaka serikali ya nchi hiyo ibatilishe uamuzi wake wa kuruhusu anga yake kutumiwa na ndege za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3476626    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/26

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesisitiza kuwa, jinai za utawala ghasibu wa Israel zitajibiwa na wanamapambano shupavu wa Ki palestina na katu hazibakia hivi hivi bila ya majibu.
Habari ID: 3476625    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/25

Taazia
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejiunga na maafisa wengine wa Iran katika kutoa mkono wa pole kufuatia kifo cha balozi wa miaka mingi na mkongwe wa Palestina, hapa nchini Iran. Balozi Salah al Zawawi alifariki dunia Jumatatu akiwa na umri wa miaka 85 katika hospitali moja ya hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3476600    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/21

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema mapatano yaliyofikiwa karibuni baina ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala haramu wa Israel kwa mashinikizo ya Marekani ni usaliti kwa kambi ya muqawama ya Wa palestina .
Habari ID: 3476599    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/21

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Idadi kubwa ya watu nchini Jordan wanakataa kutambuliwa kwa utawala wa Israel na uhusiano nao, utafiti mpya unaonyesha.
Habari ID: 3476572    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/16

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Mwanaume wa Ki palestina ameuawa shahidi na walowezi Wazayuni Waisraeli siku ya Jumamosi katika eneo la Palestina la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3476553    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/12

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Meya wa jiji la Uhispania la Barcelona ametangaza kusimamisha uhusiano na Tel Aviv kutokana na Israel kukiuka haki za watu wa Palestina kwa njia "iliyoratibiwa".
Habari ID: 3476542    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/10

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi katili wa utawala haramu wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua Wa palestina arobaini na wawili wakiwemo watoto tisa tangu mwanzoni mwa mwaka huu.
Habari ID: 3476540    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/10

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema utawala wa Israel "lazima uvunje mfumo wa ubaguzi wa rangi au apathaidi ambao unasababisha mateso na umwagaji damu mkubwa" katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3476502    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/02