iqna

IQNA

Kadhia ya Palestina
IQNA- Chama kikuu cha upinzani nchini Bahrain cha al-Wefaq kimesema hatua ya utawala wa Aal-Khalifa ya kujiunga na muungano wa baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu ni kusaliti kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3478077    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Kumekuwa na ongezeko mara saba la mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Uingereza kutoka Oktoba 7 hadi Desemba 13. Hayo ni kwa mujibu wa taasisi ya Tell MAMA ambayo iafuatilia matukio ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Uingereza.
Habari ID: 3478073    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/22

Jinai za Israel
IQNA – Mji wa Al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel Ijumaa umeshuhudia vikosi vya Israel vikitumia gesi ya kutoa machozi na nguvu ziada kuwatawanya waumini karibu na eneo la Msikiti wa Al-Aqsa huku watu wengi wakiugua kwa kuvuta gesi hiyo ya machozi.
Habari ID: 3478072    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/22

Watetezi wa Palestina
IQNA - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen imetangaza kuanza mchakato wa uhamasishaji wa vijana wanaojitolea kuenda kupigana katika vita vya Gaza pamoja na wapiganaji wa harakati za Kiislamu huko Palestina.
Habari ID: 3478070    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/21

Mapambano ya Wapalestina
IQNA - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Palestina, Hamas, Ismail Haniya amesisitiza uthabiti na azma la harakati hiyo katika kuendeleza mapambano ya kupigania ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3478066    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/20

IQNA Ripoti ya kutisha iliyotolewa na Wizara ya Afya ya Palestina, imefichuliwa kuwa wakati wa hujuma za hivi karibuni za kijeshi za utawala wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza, asilimia 70 ya watu 18,800 waliouawa walikuwa wanawake na watoto.
Habari ID: 3478053    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/18

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Kibinadamu ya Kiislamu yenye makao yake London (IHRC) amekosoa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kwa undumilakuwili wake linapokuja suala la kushtaki wahusika wa uhalifu wa kivita.
Habari ID: 3478050    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/17

Watetezi wa Palestina
IQNA – Toleo la 19 la Jukwaa la Kimataifa la Russia na Ulimwengu wa Kiislamu lilifanyika mjini Moscow huku wazungumzaji wakizingatia hali mbaya ya Gaza.
Habari ID: 3478028    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13

Matukio ya Palestina
IQNA- Idara ya Habari ya Serikali ya Gaza imeripoti kwamba asilimia 61 ya nyyumba za raia wa Ki palestina huko Ukanda wa Gaza zimebomolewa katika vita vya maangamizi ya umati vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wa palestina wa eneo hilo lilolozingirwa.
Habari ID: 3478026    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/12

Watetezi wa Palestina
IQNA – Rabi au Kuhani wa Kiyahudi mwenye makazi yake nchini Marekani anasema utawala haramu wa wa Israel unatumia vibaya dini ya Kiyahudi ili kuendeleza ukatili na uvamizi wake katika ardhi za Wa palestina .
Habari ID: 3478024    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/12

Watetezi wa Palestina
IQNA - Maandamano duniani kote kupinga na kulaania mauaji ya kimbari yanayotekeleza na utawala haramu wa Israel kwa himaya ya Marekani dhidi ya Wa palestina huko Gaza yanaendelea duniani kote.
Habari ID: 3478018    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/11

Kadhia ya Palestina
IQNA - Mufti Mkuu wa Oman amewakosoa wale wanaojaribu kudhoofisha harakati za mapambano ya Kiislamu (muqawama) za Wa palestina dhidi ya jinai za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3478014    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/09

Watetezi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)-Imamu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran ameashiria mpango wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kutatua kadhia ya Palestina kwa njia ya kura ya maoni kwa msingi wa "kila M palestina ana kura moja", na kusema: Maneno yetu ni ya kimantiki na ya kidemokrasia.
Habari ID: 3478008    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08

Diplomasia
MOSCOW (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kusitishwa mara moja jinai za Israel za "mauaji ya kimbari" dhidi ya Wa palestina Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478004    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08

Watetezi wa Palestina
KARBALA (IQNA) - Sheikh Abdul Mahdi al-Karbalayi, mwakilishi wa Ayatullah Sayyed Ali al-Sistani jijini Karbala, Iraq amesisitiza uungaji mkono kwa watu wa Palestina katika kukabiliana na uchokozi wa kikatili wa utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3477995    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/06

Jinai za Israel
BEIT LAHM (IQNA)- Kanisa moja la Palestina limeamua kuweka kunyesha magofu ya nyumba zilizobomolewa badala ya Mti wa Krismasi kama ilivyo ad ana kusema kuwa hakuna cha kusherehekea wakati huu utawala haramu wa Israel unapendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wa palestina wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3477989    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/05

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, uwezo mkubwa wa kisiasa na kiuchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Cuba unapaswa kutumiwa kuunda muungano wa nchi ambazo zina misimamo sawa dhidi ya ubabe na utumiaji mabavu wa Marekani na Wamagharibi.
Habari ID: 3477987    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04

Kadhia ya Palestina
KUALA LUMPUR (IQNA) – Hujjatul Islam Seyed Abdul Fattah Navab, mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija na Hija, na Mkuu wa Baraza la Ushauri la Jumuiya za Kiislamu la Malaysia (MAPIM) Sheikh Muhammad Azmi Abdulhamid wamekutan hapa kwenye mkutano wikendi hii.
Habari ID: 3477984    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kuanzia jana subuhi Ijuumaa, na mara baada ya kumalizika muda wa kusimamisha vita, utawala wa Kizayuni umeendeleza mauaji ya kikatili kupindukia dhidi ya wananchi wa Ghaza huko Palestina wanaoendelea kuzingirwa kila upande.
Habari ID: 3477972    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02

Jinai za Israel
UKINGO WA MAGHARIBI (IQNA)- Watoto wawili wa Ki palestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Jenin, kaskazini ya eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3477969    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/30