Jinai za Israel
BEIT LAHM (IQNA)- Kanisa moja la Palestina limeamua kuweka kunyesha magofu ya nyumba zilizobomolewa badala ya Mti wa Krismasi kama ilivyo ad ana kusema kuwa hakuna cha kusherehekea wakati huu utawala haramu wa Israel unapendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wa palestina wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3477989 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/05
Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, uwezo mkubwa wa kisiasa na kiuchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Cuba unapaswa kutumiwa kuunda muungano wa nchi ambazo zina misimamo sawa dhidi ya ubabe na utumiaji mabavu wa Marekani na Wamagharibi.
Habari ID: 3477987 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04
Kadhia ya Palestina
KUALA LUMPUR (IQNA) – Hujjatul Islam Seyed Abdul Fattah Navab, mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija na Hija, na Mkuu wa Baraza la Ushauri la Jumuiya za Kiislamu la Malaysia (MAPIM) Sheikh Muhammad Azmi Abdulhamid wamekutan hapa kwenye mkutano wikendi hii.
Habari ID: 3477984 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kuanzia jana subuhi Ijuumaa, na mara baada ya kumalizika muda wa kusimamisha vita, utawala wa Kizayuni umeendeleza mauaji ya kikatili kupindukia dhidi ya wananchi wa Ghaza huko Palestina wanaoendelea kuzingirwa kila upande.
Habari ID: 3477972 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02
Jinai za Israel
UKINGO WA MAGHARIBI (IQNA)- Watoto wawili wa Ki palestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Jenin, kaskazini ya eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3477969 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/30
Watetezi wa Palestina
CAIRO (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimesema wakati umefika kwa watu wote wanaopenda uhuru duniani kuungana kwa ajili ya kuundwa taifa huru la Palestina ili kukomesha ubeberu na ukaliaji mrefu zaidi wa ardhi ya wengine katika historia.
Habari ID: 3477968 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/30
Waungaji mkono Palestina
TEHRAN (IQNA)- Katika muendelezo wa himaya na uungaji mkono wa ulimwengu kwa mapambano ya wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel, maelfu ya wananchi wa Pakistan wameandamana na kuelekea katika ubalozi mdogo wa Marekani.
Habari ID: 3477967 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/30
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kundi la wataalam kutoka nchi mbalimbali watafanya mkutano wa kimataifa tarehe 29 Novemba 2023, kujadili kufeli sheria za kimataifa na mashirika ya kuwalinda Wa palestina katika kukabiliana na ugaidi wa kiserikali wa utawala haramu Israel.
Habari ID: 3477957 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/28
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Mauaji ya kimbari ambayo yanatekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya Wa palestina huko Gaza yalitokea kwa sababu Umma wa Kiislamu umegawanyika, jambo ambalo ni la kusikitisha kabisa, mchambuzi wa masuala ya kisiasa na umma wa Nigeria amesema.
Habari ID: 3477956 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/28
Jinai Marekani
VERMONT (IQNA) - Polisi wa Jimbo la Vermont waliripoti Jumapili kwamba vijana watatu wa Ki palestina walipigwa risasi na kujeruhiwa karibu na Chuo Kikuu cha Vermont.
Habari ID: 3477954 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/27
Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, Harakati ya Kiislamu (Muqawama) ya Kupigania Ukombozi wa Palestina (HAMAS) ilivunja mgongo wa Israel kwa kutegemea imani na ushujaa katika operesheni ya kimbunga ya Al-Aqswa.
Habari ID: 3477938 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24
Diplomasia ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza utayarifu kamili wa muqawama katika nyanja mbalimbali na kuutaja ushindi wa mwisho wa muqawama na kushindwa adui Mzayuni kkwamba, ni hakika na jambo lisilo la shaka.
Habari ID: 3477936 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24
Mapambano dhidi ya Israel
SANAA (IQNA) - Yemen imevurumisha makombora ya cruise dhidi ya maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Habari ID: 3477933 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/23
Waungaji mkono Palestina
TEHRAN (IQNA)- Wabunge wa Afrika Kusini wamepiga kura ya kufunga ubalozi wa utawala wa kibaguzi wa Israel katika nchi hiyo.
Habari ID: 3477930 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/22
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesema utawala haramu wa Israel "iliangushwa" katika Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa, operesheni kubwa zaidi ya kijeshi kuwahi kufanywa na makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina dhidi ya utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3477929 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/22
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mwanaharakati wa Gaza na mkuu wa shirika la kutoa misaada anasema Wa palestina hawawezi tena kuamini sheria za kimataifa kwani zimeshindwa kuwalinda watoto ambao wanakabiliwa na uvamizi wa kikatili wa Israel.
Habari ID: 3477926 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/21
KUALA LUMPUR (IQNA) – Mkutano ulifanyika katika Msikiti wa Sultan Iskandar ulioko Bandar Dato' Onn huko Johor, Malaysia, Jumapili jioni kwa ajili ya mshikamano na watu wa Palestina.
Habari ID: 3477920 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/20
Diplomasia ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi amewaandikia barua wakuu na viongozi wa nchi 50 duniani kuwahimiza kuwa na kauli moja kuhusu wajibu wa kukomeshwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Gaza.
Habari ID: 3477919 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/20
Jinai za Israel
RABAT (IQNA) - Shirika la Kiislamu la Elimu, Sayansi, na Utamaduni (ISESCO) limetoa tamko kali siku ya likilaani mashambulizi ya anga ya Israel dhidi ya shule mbili kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kuwa ni "fedheha kwa ubinadamu" na "uhalifu wa kutisha".
Habari ID: 3477917 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/20
Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Msikiti wa Jamia wa Omari, ambao ni moja ya misikiti mikongwe zaidi katika Jiji la Kale la Gaza, uliripotiwa kulengwa katika mashambulizi ya anga ya utawala katili wa Israel siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3477910 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/18