Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA)- Ripoti ya Umoja wa Mataifa imebaini kuwa na vikosi vya kijeshi vya utawala haramu wa Israel vilibomoa majengo 54 yanayomilikiwa na Wa palestina huko Al-Quds (Jerusalem) Mashariki katika tarafa kubwa zaidi ya eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu mwezi Julai.
Habari ID: 3477353 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/29
Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Wa palestina walishambuliwa na walowezi wa Kizayuni kwenye barabara na makutano kadhaa katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu siku ya Jumapili.
Habari ID: 3477299 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/18
Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) – Utawala haramu wa Israel unapanga kuteka maeneo ya kiakiolojia ya Wa palestina kote Ukingo wa Magharibi, Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) ilionya.
Habari ID: 3477292 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/16
Kadhia ya Palestina
BRUSSELS (IQNA)- Katika kikao chake cha hivi karibuni kabisa, Bunge la Ulaya limeutaka Umoja wa Ulaya na nchi wanachama wa umoja huo kuitambua rasmi nchi ya Palestina.
Habari ID: 3477280 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/14
Shambulio la wanajeshi wa Kizayuni katika eneo la kuvutia la Palestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
Habari ID: 3477183 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema njama za Wazayuni za kupika majungu ya fitina ili kuibua mifarakano na kuyagawa makundi ya muqawama zimefeli na kusisitiza kwamba, utawala huo wa Kizayuni karibuni utapigishwa magoti na wanamuqawama katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3477180 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/22
Jinai za Israel
Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali asubuhi ya leo wameuvamia tena msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3477120 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/08
Mapambano
Duru za utawala wa Kizayuni wa Israel zimethibitishwa kuwa, wanajeshi watatu utawala huo wameangamizwa wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio la risasi kwenye mipaka ya Misri na Palestina inayokalia kwa mabavu ambayo imepachikwa jina bandia la Israel
Habari ID: 3477103 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/05
TEHRAN (IQNA) Hisham Barzeq ni M palestina mwenye umri wa miaka 68 ambaye ana chumba kidogo katika moja ya misikiti huko Gaza.
Habari ID: 3477096 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04
Imam Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina amesema mtazamo wa kina wa Imam Khomeini (AS) kuhusu suala la Palestina ulitokana na utambuzi wake wa Qur'ani na kidini.
Habari ID: 3477086 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/03
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa Israel umeripotiwa kuteka eneo la kihistoria la Wa palestina la Nebi Samuel, lililoko katika Ukingo wa Magharibi wa Mto unaoukalia kwa mabavu na makazi ya kanisa, msikiti na sinagogi, chini ya kisingizio "mbuga ya kitaifa".
Habari ID: 3477080 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/02
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 20 la Kongamano la Wa palestina Wanaoishi Ulaya lilifanyika Malmo, Uswidi, Jumamosi.
Maelfu ya Wa palestina wanaoishi katika nchi za Ulaya walishiriki katika mkusanyiko huo, Al-Ahed News iliripoti.
Habari ID: 3477060 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/28
Muqawama
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Kiislamu ya Amal ya Lebanon imesisitiza haja ya umoja na mshikamano wa kitaifa nchini humo.
Habari ID: 3477042 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Mufti Mkuu wa Oman aliutaka Umma wote wa Kiislamu kusimama pamoja na taifa la Palestina katika kukabiliana na uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3477039 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/24
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na nchi za Kiislamu zimelaani hujuma iliyofanywa na Wazayuni wakiongozwa na mawaziri na wabunge kadhaa wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika kile kilichopewa jina la "siku ya bendera".
Habari ID: 3477016 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/19
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)-Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran ameeleza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umepoteza uwezo wake na kusema: Nguvu ya kujihami ya kambi ya muqawama inapasa kuimarishwa, na muqawama wa Palestina unapaswa kuendeleza njia hiyo kwa nguvu na fahari.
Habari ID: 3476990 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/12
Uchambuzi kuhusu jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Katika mashambulizi yaliyofanywa juzi na utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ambapo Wa palestina 15 waliuawa shahidi, zilichapishwa picha za uchungu huzuni za mwanamke na msichana mdogo wakiwaaga watu wa familia zao waliouliwa na jeshi la Israel, jambo ambalo limeumiza nyoyo na kuwatia watu simanzi na huzuni kubwa.
Habari ID: 3476989 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wapigania ukombozi wa Palestina wameapa kulipiza kisasi baada ya jeshi la utawala haramu wa Israel kuwaua makamanda wa ngazi za juu wa Harakati ya Jihad Islami katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3476981 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/09
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mbunge mmoja wa bunge la Marekani amesisitiza upya msukumo wa kuhakikisha kwamba misaada ya nchi hiyo kwa utawala wa Kizayuni Israel haichangii dhuluma dhidi ya Wa palestina , hasa watoto, huku wabunge wakiendelea kutoa wito wa kuwekwa masharti kuhusu usaidizi huo.
Habari ID: 3476972 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/07
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Binti mmoja wa Palestina ametekeleza operesheni ya kishujaa ya kujitoa kufa shahidi ili kujibu jinai za mtawalia za wanajeshi makatili wa Israel na walowezi wa utawala huo pandikizi.
Habari ID: 3476959 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/05