iqna

IQNA

Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza imetangaza kuwa faili la mauaji ya Waislamu katika mji wa Zaria nchini Nigeria limewasilishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu huko The Hague nchini Uholanzi.
Habari ID: 3470211    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/23

Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wamewaua watu 22 waliokuwa wakisali katika msikiti mmoja jimboni la Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470201    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/16

Jeshi la Nigeria limeendelea na hujuma zake dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia baada ya kubomoa Huseiniyyah nyingine katika mji wa Zaria ulioko katika jimbo la Kaduna.
Habari ID: 3469062    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/25

Human Rights Watch
Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali mauaji ya jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu katika mji wa Zaria na kusema hakuna kisingizo chochote kile kinachoweza kutetea ukatili huo.
Habari ID: 3468960    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/24

Bintiye Sheikh Zakzaky
Bi. Nusaiba Zakzaky bintiye Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky ametoa taarifa akibainisha hali ya Waislamu nchini Nigeria na kusema, serikali ya nchi hiyo inawakandamiza Waislamu wa madhehebu zote.
Habari ID: 3468456    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/23

Jeshi la Nigeria limetumia buldoza kubomoa kikamilifu ukumbi wa Husseiniyyah Baqiyyatullah katika mji wa Zaria sehemu ambayo ni makao makuu ya Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3467977    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/21

Maafisa wa Nigeria wamesema kuwa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ambaye alitiwa nguvuni na jeshi huku familia na wafuasi wake wakichukuliwa hatua kali za jeshi na kusababisha umwagaji damu watashtakiwa.
Habari ID: 3467870    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/21

Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kisuni wa Iraq amefichua mkono wa Saudi Arabia katika mauaji yaliyofanywa na jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Zaria.
Habari ID: 3467471    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/20

Maandamano ya kulaani mauaji ya umati ya Waislamu nchini Nigeria yameendelea kushuhudiwa katika pembe mbali mbali za dunia.
Habari ID: 3467081    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/20

Maandamano yamefanyika katiak maeneo mbali mbali duniani ikiwa ni pamoja na Iraq, Bahrain, Uingereza na Pakistan kulaani mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Nigeria.
Habari ID: 3465571    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/18

Mwana wa kiume wa Sheikh Ibrahim Zakzaky wa nchini Nigeria amesema familia bado haijazungumza na kiongozi huyo wa Waislamu wa madhehebu ya Shia tangu alipokamatwa na kwa mantiki hiyo hawana uthibitisho wowote kama yuko hai au la.
Habari ID: 3465562    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/18

Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu ICRO limetoa taarifa na kulaani hujuma ya hivi karibuni ya jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia ambapo zaidi ya waumini 1000 wameripotiwa kuuawa.
Habari ID: 3464304    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/17

Polisi nchini Nigeria wameendeleza ukatili wa jeshi la nchi hiyo kwa kuwaua Waislamu wanne wa madhehebu ya Shia huku magaidi wa Boko Haram wakiachwa huru kuendeleza mauaji yao.
Habari ID: 3463969    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/16

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka serikali ya Nigeria kuwaheshimu viongozi wa kidini na maeneo matakatifu, siku moja baada ya jeshi la nchi hiyo kumkamata kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky, baada ya kutekeleza hujuma nyumbani kwake kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3463095    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/14

Jeshi la Nigeria limemkamata kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky, baada ya kutekeleza hujuma nyumbani kwake kaskazini wa nchi hiyo.
Habari ID: 3462774    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/13

Karibu watu milioni moja wameshiriki katika msafara wa kutembea kwa miguu kutoka mji wa Kaduna hadi Zaria kwa mnasaba wa Arubaini ya Imam Hussein AS katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria.
Habari ID: 3459300    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/01

Kundi la kigaidi Boko Haram limetangaza kuhusika na shambulio dhidi ya msafara wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia waliokuwa katika msafara wa maombolezo ya Imam Hussein AS jimbo la Kaduna nchini Nigeria.
Habari ID: 3458202    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/29

Waislamu 21 wa madhehebu ya Shia wameuawa shahidi katika jimbo la Kano, kaskazini mwa Nigeria baada ya gaidi moja kujiripua kwenye msafara wa Waislamu hao Ijumaa hii.
Habari ID: 3457492    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/27

Chuo Kikuu cha Jimbo la Yobe Kaskazini Mashariki mwa Nigeria kimehuisha kitengo cha utafiti wa Qur'ani kwa lengo la kuimarisha masomo ya Kiislamu.
Habari ID: 3457056    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/25

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei kabla ya adhuhuri ya leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria aliyeko safarini hapa nchini.
Habari ID: 3456282    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/23