TEHRAN (IQNA) – Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameua Waisalmu watatu na kuwajeruhi wengine 13 katika hujuma iliyotekelezwa nje ya msikiti katika mjini Gowza, jimboni Borno kaskazini mashariki wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472410 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/27
Mwanaharakati wa Nigeria
TEHRAN (IQNA) – Mwanaharakati wa Nigeria ambaye ni mwanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) amesema kuuawa shahidi kamanda wa ngazi za juu wa Iran Luteni Jenerali Soleimani kuliwaunganisha wapigania uhuru kote duniani.
Habari ID: 3472391 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/21
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetoa taarifa kulalimikia hatua ya utawala wa nchi hiyo kuendelea kumshikilia korokoroni kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3472374 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/15
TEHRAN (IQNA) –Wananchi wa Nigeria wameshiriki katika maandamano ya kulaani jinai ya Marekani ya kumuua shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.
Habari ID: 3472351 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/07
TEHRAN (IQNA) – Wananchi wa Nigeria wamendamana kulaani jinai ya Marekani ya kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
Habari ID: 3472332 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/04
TEHRAN (IQNA) – Imebainika kuwa mwili wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky una vipande vya mabaki ya risasi.
Habari ID: 3472311 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/28
TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa SAW kimetoa taarifa na kulaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu kuendelea kushikiliwa kinyume cha sheria kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim al-Zakzaky na mke wake, pamoja na kuwa hali yao ya kiafya imezorota.
Habari ID: 3472285 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/17
Katika mahojiano na IQNA
TEHRAN (IQNA) – Suhaila Zakzaky, bintiye Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria (IMN) ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuishinikiza serikali ya Nigeria kumuachilia huru mwanazuoni huyo wa Kiislamu.
Habari ID: 3472279 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/15
TEHRAN (IQNA) - Daktari wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema kuwa msomi huyo ameathiriwa na sumu na anapaswa kupewa matibabu haraka iwezekanavyo.
Habari ID: 3472263 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/09
TEHRAN (IQNA)- Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna nchini Nigeria imetoa hukumu ya kupelekwa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe katika jela kuu ya jimbo la Kaduna kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472259 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/06
TEHRAN (IQNA) –Harakati ya Kiislamu Nigeria (INM) imesema hatua ya serikali ya nchi hiyo kuendelea kumshikilia Sheikh Ibrahim Zakzaky na mke wake ni ukiukwaji wa wazi wa sharia.
Habari ID: 3472255 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/04
Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky ni mbaya kutokana na alimu huyo kuendelea kuwekwa kizuizini kwa muda mrefu sasa.
Habari ID: 3472172 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/15
TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Nigeria limeua Waislamu wasiopungua 12 waliokuwa katika maombolezo ya Siku ya Ashura (tarehe 10 Muharram) wakikumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.
Habari ID: 3472124 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/10
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa, kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky amepelekwa mahala kusikojulikana mara baada ya kuwasili Abuja akitokea nchini India.
Habari ID: 3472088 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/18
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria(INM) imetangaa imelaani amuzi wa mahakama ya nchi hiyo kuiruhusu serikali kuitangaza harakati hiyo kuwa kundi la ‘kigaidi’.
Habari ID: 3472062 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/29
TEHRAN (IQNA) - Mashinikizo ya Marekani, Utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia ni chanzo kikuu cha serikali ya Nigeria kuendelea kumshikilia kinyume cha sheria kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3472050 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/21
TEHRAN (IQNA) - Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran wameandamana kulalamikia kuendelea kushikiliwa kushikiliwa kinyume cha sheria Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3472045 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/15
TEHRAN (IQNA) - Mwana wa Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria ametahadharisha kupitia ujumbe aliotoa kwamba hali ya kimwili ya baba yake ni mbaya sana. Amesema karibu njia zote zimeshindikana kwa ajili ya kunusuru maisha yake.
Habari ID: 3472036 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/09
TEHRAN (IQNA)- Baada ya kupita miaka mitatu na nusu tangu serikali ya Nigeria ianze kumshikilia kinyume cha sheria Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky na kuendelea kukaidi amri ya Mahakama Kuu ya kuachiliwa huru mwanachuoni huo, hivi sasa hali ya kiongozi huyo wa Waislamu imezidi kuwa mbaya.
Habari ID: 3472021 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/29
TEHRAN (IQNA) – Nakala ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa kwa herufi za Kiarabu za Borno imezinduliwa nchini Nigeria.
Habari ID: 3471960 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/16